Wakizima na Taa lolote linaweza kutokea Safarini 😁
2026-08-30 14:01:35
60
Abubakary H. :
Labda ni ule utulivu wa usiku 😅🌙… unapokuwa safarini kila kitu kinakuwa kimya, unaangalia taa za barabarani na kufikiria mambo yako. Kuna feeling fulani ya peace ambayo safari za mchana hazina .
2026-08-31 07:35:09
106
Poo Mia :
meditation unapata utulivu wa akili yako kwa 100% unakua unawaza vitu positive unapata idea mpya unakumbuka wapi umetoka ulipo na unapoelekea na njia sahihi ya kupambana na changamoto za maisha uku ukiwa na matumaini makubwa kwamba ipo siku utafika sehem ulioomba Mungu akufikishe
2026-09-02 09:20:20
29
Alice💕 :
Mm naiwazia safar ya kutoka dar to msoma hata ulale usiku mzm ukishtuk bado uko njiani yani dar ni mbali sana jmn japo usiku hauchoki kam ukisafir asubuhi
2026-08-31 19:27:11
36
mkuu wa ma rider Tz :
nyimbo laini harafu uwe na mtoto wa kike hamjuani asikia usingizi harafu anakulalia🥰
Sijui madereva wanawezaje kubalance usingizi ukiwa kwenye uskan hata wakiwa wawili bado usingiz wa usiku hauna kugawana masaa.
Safari za Usikuni nguvu za Mungu tu ndo zinazoendesha gari na si vingnevyo.
Nisieleweke vibaya kwamba mchana Mungu hausiki la hasha. 🙏 🙏
Ila Usiku ule usingizi na kuchoka kukaa kwenye kitu unavyojisikia ni sawa sawa na dereva nae kwa sababu na yeye ni binadamu. 🙏 🙏