Yah Allah mlipe kheri kubwa huyu shekh kwan kwa hakika anutupa mafunzo makubw
2026-08-30 09:14:27
3
Degea wa Tana⚽ :
sheikh na Niyat inasomwaje
2026-08-30 08:44:23
1
Idrissa Muhidini Ali :
shukran kwailmu
2026-08-30 09:46:36
1
احمد فاروق_ ١٢ :
Assalam alaykum shekh naomba kuuliza vp kuusu sunna za kabliya na baadia au sunna nyengine kama dhuha
2026-08-30 09:07:13
1
🍇my🛀 :
2026-08-30 08:53:58
0
Fatuma :
Je ukiswali katika Gari au Ndege waeza kupuunganisha
2026-08-30 09:22:00
1
One dream Autospare parts :
kwenye siku unazohesabika ni za msafiri kuna fatwa nyingi kwanini umechagua hiyo ya siku 4 tu?
2026-08-30 15:07:07
0
missu :
shukran sheikh
2026-08-30 13:45:09
0
salah happy :
asante saana kaka
2026-08-30 16:41:02
0
damam141 :
Shukran. Jazaakallahu khayran
2026-08-30 15:34:45
0
salmamor :
shukran shekh ila m.naona njia ya kusali ukiwa kwenye usafiri au safarini itakua nzuri zaid
2026-08-30 08:29:07
1
nahyer nahyer🇹🇿🇴🇲 :
shukran nimejifunza leo darasa kubwa sana maana nilikuwa nina maswali mengi kuhusu swala ya msafiri Mungu akulipe kheri
2026-08-30 15:34:57
0
African 1212umetuma :
🥰amiin
2026-08-30 14:02:04
0
@fatuma namulike banaly :
shukulani sana mungu akulindi
2026-08-30 17:56:35
0
ummy s :
shukrna sana🤲🤲🤲
2026-08-30 14:23:17
0
Emmy Salim :
aslam alaykm warahmatullah wabarakatuh kaka huwa nakuza nywele na maji ya mchele au maji ya karafu je nakuwa sioshi kichwa nashika udhu kawaida je ina kaa sawa
2026-08-30 15:38:02
0
missa kim :
kaka naomba nisomee surat kulusini siijui nataka nijifuze
2026-08-30 09:54:42
0
Ramisa0655 :
Shukran
2026-08-30 19:40:14
0
riziki_12* :
Amiin Amiin 🤲🤲
2026-08-30 13:25:26
0
zamnaki :
mashaallah umejibu swali nilokua nikijiuliza mala kwa mala
2026-08-30 12:52:41
0
mkasihaji5 :
assalam alaikum kwa mabaharia je walokuepo nje ya nchi swala hio ikoje
2026-08-30 12:27:24
0
maryamahs_bakery :
Shukran kwa darsa Ustadh. Ninaomba kufahamu kwenye nukta ya niyyah na kupunguza rakaa’, mfano muda wa dhuhri umeingia na unataka kuunganisha dhuhri na asry, je ukisimama kabla ya takbiratul-ihraam unanuia kuswali dhuhri na asry na ukaunga swala kwa kuswali rakaa nne (dhuhri na asry) au inabidi kila swala itenganishwe na salaam na kisha kusimama na kuswali swala ya kipindi kingine? Allah akulipe kwa i’lmu unayotupatia.
2026-08-30 09:00:44
1
To see more videos from user @al.akhi.naasir7, please go to the Tikwm
homepage.