@newman92: #diamondplatnumz #respect #magufuli #kanumba

TATA BM🦅🇹🇿(Newman)
TATA BM🦅🇹🇿(Newman)
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 30 August 2026 10:15:58 GMT
97674
8150
270
192

Music

Download

Comments

sosrylamson
Sosry Sosry@25 :
That was JPM
2026-09-01 14:59:14
1
.power087
HT :
kwel bb
2026-08-31 17:35:21
1
becker047
becker B :
The bitter truth, their was a time a leaders like this will rise again.
2026-09-01 11:22:36
3
deusdedithskabadi
KBD :
RIP Baba
2026-09-01 13:39:09
1
realjoy660
Real joy💕 :
Mzee wa black or white😂😂
2026-09-01 19:32:52
0
machili350
mnyambo Grn :
master
2026-09-01 14:20:00
1
torynass.1204
nassim1204 :
Pamoja na umri wangu mdogo ntasimama kumtetea JPM as my best of the best president ever happen in Tz,aliamua kudance kivyake that's y some people..
2026-09-02 00:06:25
10
official.smart60
official smart :
mungu mrudishe huyu tu😳
2026-08-31 05:28:20
40
glasswiyne
glasswiyne :
tanzania tuliwai kuwa na rais sio hizi zingine
2026-08-31 20:41:45
34
matrix1529
mbuna :
alikua ni raisi mzuri sana lkn ukweli ni kwamba huyu ndio chanzo cha matatizo haya yote.
2026-09-01 11:24:12
50
user854460983314
Rama M2 peace💪 :
raisi Bora wa muda wote Tanzania
2026-08-31 09:43:38
25
1qatar01
Barcelona :
ukisikia huyu mzee akianza ndugu zangu mimi mtanisamehe ujue hapo mmekwisha
2026-09-02 04:17:11
15
abubakalimohamed
abubakalimohamed :
yani tukikumbuka magufuli wengine tunaumia sana 😢
2026-08-31 06:41:37
21
izzo.b03
Izzo "B" :
aloooo huyu mzeee mungu amuhifadhi kwa mabay yake na amlipe kwa mema yake alijitahidi kwa uwezo wake
2026-08-31 21:33:52
18
pichasaa
PICHASAA🖼️🕗 :
Siku ya mwisho Magufuli kuonekana hadharani.
2026-09-01 08:14:58
13
blessgeorge1
bless :
mama wawatu alijieleza vzur mwenyewe akajua kampatia mzee 🤣🤣🤣🤣
2026-09-01 15:53:59
17
jofreymligo
Official-Joe💫 :
Ghafra 2 pakachangamkaa 😅😅
2026-08-31 17:46:18
8
a.p.m492
A.p.m :
Najua Ulikuwa Haupo...😂
2026-09-01 05:17:56
5
wizzysadf222
My life my rules 222 :
bàaaaaasi kumbe mpaka manispaaa wanakopa baaaaaasiiiii Mimi ni nani
2026-08-31 17:04:53
6
chrisdemziwanda
Chris de Mziwanda :
Watu wamekuwa wale wale waliopiga makofi kwa magufuri na huyu tena wanapiga
2026-08-31 14:17:53
7
tisoboy_
batiso bahath :
Hapa ndio tulikua na Raisi asee😂😂 yani hapo hapo kashapata wazo kufatilia izo pesa zilizo kopwa kama zilifanya kazi stahiki✅
2026-08-31 10:22:20
8
jose.palakas
Jose Palakas :
mungu tunakushukulu kwa yote
2026-08-31 08:45:07
8
ozdantaraphael89
SautiYaMsukuma 🖤 :
huyu mungu tumuacheni tu 🙏🙏 RIP JPM
2026-08-31 12:33:17
6
To see more videos from user @newman92, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About