Jayzeey :
Kila hatua Katika maisha ingekuwa inabaki ilivyo au inadumu maisha yote,,hakika tusingeweza kufurahi,,, lakini Bwana Mungu aliweka nyakati za furaha na huzuni,,ili kuruhusu unapoumia ,unalia, unakata tamaa, yeye anakuletea kicheko baada ya Kila kitu,, ndo maana unaweza ukawa na matatizo,shida lakini ukawa na tabasamu au furaha na maisha hayo,,, kwasababu wajua BWANA HUTENDA NA BWANA ALITUTENDEA HAKIKA BWANA ATATUTENDEA TUZIDI KUFURAHI..
Hongera mtunzi wa wimbo kwa mpangilio wa maneno yenye ujumbe wa hisia,, Hongereni wanakwaya sauti nzuri na uhalisia wa matukio mmeweza na mmeweza tena,
Na Bwana akazidi kuwatendea zaidi na Zaid@Kmd Ngarenaro Choir @georgemosha12 @GM² @Omary Yunusi @VICENT MKATOLIKI 🎶@vonney na wengine Wote.
2026-08-30 17:53:45