@5star_newstz: Bilionea na mwekezaji wa teknolojia kutoka Marekani, Tim Draper, ametangaza kuuza kisiwa chake kilichopo katika Ziwa Tanganyika, Tanzania, kwa bei ya dola milioni 7.9 za Marekani, au ofa yoyote inayoweza kujadiliwa. Kupitia ujumbe wake, Draper amesema kisiwa hicho ni eneo zuri sana, lakini wamekuwa hawakitumii mara kwa mara, hivyo wameamua kukiuza. Wanaovutiwa na ununuzi wa kisiwa hicho wameelekezwa kuwasiliana naye moja kwa moja kupitia barua pepe [email protected]. #updates #5starNewstz
I'm a Tanzanian 🇹🇿 🇹🇿
the island is NOT FOR SALE☹️
2026-08-30 15:16:36
3
NDILE SHOPPING CENTER :
analipa namba??
2026-08-30 15:55:34
1
joram@ :
upotoshaji huanza hivi hivi, jiulize inakuwaje mtu ananunua kisiwa tena ndani ya TZ
2026-08-30 14:14:38
6
Lemali Mollel :
Tanzania inawapatu bila mkataba paka mtu anatangaza kuuza kiziwa xawa au bac mmmmmmm
2026-08-30 14:51:02
3
Goriech gypsum decor&paints :
tukisem nchi inauzwq kun vilaza wa ccm wanabisha
2026-08-30 15:52:49
1
Dickinson :
aliuziwa nanani,??? mamaee
2026-08-30 14:23:22
1
GG boy@tz👑 :
nitumie no yake tafadhar nikichukue halaka sana ✍️
2026-08-30 15:07:30
1
MATAU ELECTRICAL SERVICES :
Kilakitu kinauzika pesa ikitosha…
2026-08-30 16:10:11
0
💫GhazzyBhabha💫 :
How mali ya Tz inauzwa na Serikali Hamsemi yani inshort wenda hata Me and Ue tuxhauzwa na hatjuii😭😭
2026-08-30 15:51:55
0
Pretty :
uweee
2026-08-30 15:40:05
0
ṢAVAG£. :
eeh kumbe tunavisiwa sio vyetu ap nchini?😳
2026-08-30 14:25:19
0
JOSEPH LOGOLIE :
mzungu ?
2026-08-30 15:00:09
0
the universe :
inawezekana ndio aliyoyasemaga ndugai kuwa kuna siku nchi itapigwa mnada sasa imekuaje mtu anauza kiswa ina maan na yeye auliuziwa au mm ndio sielew wakuu
2026-08-30 15:51:22
0
baba anna :
duuu kumbe tumeuzwa na hatujui
2026-08-30 14:48:07
0
B charter :
ya wap iyo
2026-08-30 14:20:00
0
msham :
nakihitaji mimi nilipe niikrudishe kiwe mali ya Tanzania 🇹🇿
2026-08-30 14:52:28
0
khaledmhina :
KAUZIWA NA NANI.
2026-08-30 14:13:04
0
Ruthie montez :
Mtihani kwa kweli
2026-08-30 16:10:25
0
Ally_Ally :
hivi kisiwa kinakuaje mali ya mtu na anakiuza nielewesheni
2026-08-30 13:58:29
0
Tinny six :
Tuunze na cha Zanzibar.
2026-08-30 15:30:51
0
Rey Q2 :
Kwan wazungu kumbee Badoo awajaacha kututawalaa
2026-08-30 14:19:16
0
Mhando74 :
alikipewa na nani nayeye sio mtanzania da pp nishushe
2026-08-30 15:04:39
0
S_fine Tz :
iyo nayo pwenti
2026-08-30 15:18:23
0
chama wa simba :
kesho watanzani wanauzwa kwa Bei ya jioni kabisa mjipange mm nitakuwa dalali wa Hilo jambo
2026-08-30 15:30:48
0
To see more videos from user @5star_newstz, please go to the Tikwm
homepage.