Someone else’s emergency doesn’t automatically become your responsibility. Protect your peace. 📌
2026-08-30 16:12:41
232
Dee Fragrance Collection :
ngoja nimtumie Baba angu maana haelewi hao watoto wa dada zake alio walea Leo hii wanasema ngoja tuone mtoto wa mjomba atafika wapi , mtoto mwenyew ndo Mimi na mdogo wangu wa darasa la 6 yaan wanafurahi saiv wazazi walivyotengana na mama angu still na muuguza Mimi uku na soma 🙌ipo siku ntakuja kutoa ushuhuda Mungu yupo na Mimi
2026-08-30 15:55:04
484
Adelina John :
Niseme ukweli Niffer una akili nyingi na maono makubwa sana, Mungu akutunze mdogowangu
2026-08-30 16:07:55
186
TANZANIAN :
sawaaaa sura ya baba tumekuelewaa
2026-08-31 00:31:44
54
zestykemmy🌶️ :
wakati ndio maana pamoja na vitu vyote ambavyo mimi binafsi mwenyezi mungu amenibariki navyo sijawahi kukaa nikiwa pekee yangu nikasema mimi nuhu maana mimi hapana kwa sababu chochote mungu anachokupa anaweza kukichukua lakini pia kwenye huo huo wakati namna ninavyouogopa kila mtu anawatati wake jikumbushe wewe ulivyokuwa mdogo kuna yule ndugu mmoja ambaye alikuwa anasaidia yaani kila yaani kila mtu kwenye ukoo wake huyo ndio ndugu ambaye mtu yeyote akipata tatizo anamkimbilia huyo ndugu akiamini atapata msaada kwa huyo mtu na maskini unapo sasa wengine hawana hiyona au ndugu wanatoa si mtoto wangu anatoa sijui mdogo wangu anatoa sijui shangazi yake anatoa anafanya alafu hao watoto wa shangazi au si mtoto wa mkubwa sijui ndugu wanakuja wanakua sasa maisha wanayapatia wanafanikiwa halafu wakati huo wewe yule ndugu ambaye ndio wewe sasa umeniangalia huyo ndugu ambaye wewe ndio ulikuwa unajitoa unafanya nini kila kitu baadaye hao ndugu ndio wanaanza kusema eh maisha yake yote sasa hivi yameganda eh alikuwa anajifanya mtoaji alikuwa anajifanya yeye ndio kila kitu suzu mmh wewe ambaye sasa hivi unajisahau kujiweka wewe kwanza ili utoe furaha kwenye maisha ya watu wengine sijui mtoto wa shangazi sijui kusoma mkuu sijui ndugu zako sijui kina nani yaani unafanya kutafuta kumfutability wale watu wawe na amani wawe na furaha kinachokuja kutokea ndio hao wanakuja kukudharau wanakuja kuona wao ni bora kuliko wewe kwanza hukuwahi kustahili kuwa hapo ulipo una kipi hasa cha kuwa yaani wanaona kama tena wanasema maisha ya mtandao yalivyo yaani wanaona kwamba ni rahisi sana kuanza maisha na wakafanikiwa na wakatoboa wanakudharau jamani saidieni mnavyosaidia jitoeni mnavyojitoa kwa ndugu kwa marafiki kwa familia lakini kumbuka mtu namba moja ni wewe mtu namba moja ni wewe binadamu hawakumbuki hawana shukrani utajitoa mpaka ubaki uchi kuna siku watakufanyia kitu neno dogo tu samahani hawatosema hawatasema hawatakumbuka yaani tena ndio wata hmm wewe unahangaika na familia za watu mtu kila siku anakuja kuamini jamani nyumbani sijui nini anakuja kukoma hela ya kula wewe tena unakuta wanajinyima wewe nyumbani na watoto wako unakula dagaa ila unayompa yeye anaenda kununua nyama 😂😂😂
2026-08-30 17:06:32
33
nayfatsalim :
huyu nibababaangu kabsaa kasaidia watoto wengi sanaa sasahiv wanamaisha Yao hawamjali kwetu kulikuwa nawatot weng sahiv hamna hata mmoja🥺
2026-08-31 05:45:46
67
Kivurande :
Niffer umeongea kama watu kumi my young sister
God bless you abundantly NIIFFER
2026-08-31 04:29:52
36
vee🦋♥️🔐 :
kweli kabisa dada
2026-08-30 15:47:01
58
mim_lonnert :
huyo ni mama ang jmn alitukanwaa jamn sitakuja kusahau aliambiwa uchi wake umefikisha wap zaid ya kuzaa tuu ila inshallah Allah atanipa nimuheshimishe mama siku mmoja inshallah 🤲🤲
2026-08-30 18:09:41
83
Galbysuu :
ever since my dad past away things are not the same anymore🥺 he was a good person Allah mrehem babayangu mpe pepo na umfugulie kaburi lake ya raab miss u so much
2026-08-31 05:27:41
16
MC Devotha | Events :
Watu wengi tuliowasaidia ndo wachawi wetu.Nimeona kwa wazazi wangu!😭very sad!wema hulipwa kwa ubaya.Lakini hatuwezi kuacha kutenda wema!
2026-08-31 06:12:16
29
Toto Baya :
mungu akuhifadh kwa maneno matamu
2026-08-31 03:44:50
21
garder_cleaners :
Nmejiskia kulia
2026-08-30 16:42:00
18
shanelly :
nikweli jaman ukweli mtupu
2026-08-31 07:09:16
20
jamesncheye :
Hayo ndio yamemkuta Baba yangu 🙏🙏🙏 sitorudia kosa Kila mtu atunze watoto wake.
2026-08-31 01:24:21
16
thuma baby❣️🥰 :
jamani nikumbusheni baadaa miaka 5 nataka nikumbushe mtu
Allah Akitujaaliye uhai na afya
2026-08-31 05:27:06
5
najma birian kahama :
Uyo ndugu ni mama angu na siipend hio tabia yake sana maana kalea ndugu zetu wengi sana lkn amna ata mmoja anaemkumbuka mama angu lkn yeye bado anawapokea tu nyumbn hua sipend sana bas tu
2026-08-30 19:00:16
23
ꨄzabibuᥫ᭡☾ :
mimi mama angu alisaidia watu kwa kila ndugu aliyekua na shida ila alivyofariki tunasemwa sisi watoto kwamba mama etu alikuwa anajiskia ilaaa ndugu🙌🙌🙌🙌
2026-08-30 15:49:11
30
TIFFANY🦋 :
Alaviiyuuuu
2026-08-30 15:49:03
8
winnifrida :
naisi inabidi tulearn not to expect much my dad always say this ukisaidia mtu Fanya tu Kwa moyo usitegemee utalipwa badae ,ukiona umeguswa na kile kitu ambacho ndugu zako wnapitia ukiwanacho saidia but usiexpect watu watarudisha fadhila
2026-08-31 11:59:12
11
reldah gamba :
Nifer, Yani umeongea hundred percent true... kabisaaaa
2026-08-31 03:50:26
6
user3433989850892 :
😢😢😢😢punguza sauti kidogo
2026-08-30 16:38:37
7
To see more videos from user @niffer_cosmetics, please go to the Tikwm
homepage.