kama ni ivo mungu ameapa na laasir kwaiyo nibora kuliko lailatul qadir
2026-08-30 18:00:24
4
عبد الله السلفي :
أدلة غير مناسبة بما تقوله.
2026-08-30 17:48:41
3
Esir Abdi :
katafute watoto wenzio ucheze nao
2026-08-30 18:54:31
3
Abu Haashim :
Mwalimu wangu hao huamini hadithi zaidi kuliko Qur'ani...hata ukiwafunza hawata kuamini maana tayari wanaamini Qur'an ipo na aya zilizopiywa na wakati hazifanyi kazi wakati huu wa hadithi za Mtume....Huo ndio mtihani walio nao...
2026-08-30 18:39:12
1
bashir# Huseni$#officilly :
mwezi na MTU nani mzuri zaidi?
2026-08-30 19:20:02
0
Abu Nasra :
lkhtilaafu zitatufikisha pabaya sana.Tufuateni Uislamu kama walivyofuata maswahaba r.a.
2026-08-30 18:24:51
1
Ally Kichechea :
shekh tusome ndo tutafte ubishani
2026-08-30 22:47:41
0
Hullk Karim :
Mimi nimsomaji maulidi lakini saa nyingine vitu vingine hubu tuendeni pole pole tuacheni kuzidisha!
2026-08-30 22:51:00
0
abdulrahman_zungiza :
Innallilah wainnallilah rajiuni
Allah (S.W) akiongoze
2026-08-30 19:51:57
0
mahmoud :
allah aghlam
2026-08-30 18:52:23
0
muhammed :
mjomba naona unazuga watu tu apo sema kwa tafsiri hayo ulio sema sw
2026-08-30 20:44:57
0
Ustadh Munawwar038 :
sura gani na aya ya ngapi kwa ushahidii.
2026-08-30 19:38:32
0
Dr. Mtauni Mansour. :
iyo Lailatu Imepata umaakufu Sababu Ya Mtume S, A, W.
Laylatu Yajulikana Kwa Idadi ya Miaka. Utukufu wa Mtume S, A, W
thanani yake Miaka Mingapi
2026-08-30 18:37:05
0
Abu Haashim :
Baada ya kuzaliwa Mtukufu wa darja ndipo Lailatul Qadri ikawa bora kuliko miezi 1000....Maana yake utukufu huu wa Lailatul Qadri umekuja sababu ya Mtume kwa kuteremshiwa Qur'ani ambayo asingelizaliwa Qur'ani isingeli teremshwa ndio maana alipokuja Allaah akaapia uhai wake kuwa ni bora kuliko kila kitu ndio maana Ummah ukaamrishwa kumuamini na kumpenda Mtume Swalla llaahu alaihi wa aalihii wa sallam,zaidi ya vipenzi vya familia vyake, na kutakiwa wamfanye hakimu kwa kila ama la hawatakuwa miongoni mwa waumini...
2026-08-30 18:44:48
0
young_tierow ( SKiiZA bøy )🧢 :
we shekhe hujabobea bali watumia kifua na jazba...mungu akujaalie hekma ya uchambuzi
2026-08-30 18:56:01
0
A.SHUAYB :
ALLAH AKUONGOZE maana waelekea pabaya
2026-08-30 18:40:14
0
Abasi :
jaman mawahabii watatufute w2 wawa someshee et yaaa hawajuwii asaaaa
2026-08-30 20:08:51
0
Husaid :
punguza jazba ukiongea akhii hii si vita
2026-08-30 22:58:35
0
Jumanne salimu Hassani :
wajitahidi sana kuyapambamaovu ila mwehu namwehumwenzake
2026-08-30 19:58:37
0
Musicha Shariff :
wallahi hawa makhurafi ni Allah arehemu na aongoze anayetaka... Ta'weel min ghayr daleel na tahreef ndio wanajua. Allah awaongoze
2026-08-30 22:37:54
0
Bilal G :
Waambie bn wanstuzingua hlf Elimu yap cjui wanaitoa wap hawa
2026-08-30 19:45:06
0
شمهروش أفريقيا :
isingekua ni usiku wa kuzaliwa mtume kusingekua na usiku wa lailatul qadr 😁
2026-08-30 19:28:40
0
Mohamed Nkokoo :
والعصر
والضی
والليل
والنجم
kwa hiyo hivo navo bora kuliko mtume?
2026-08-30 20:04:37
0
Ally Kichechea :
majibu Yako na kilochoelezwa apo ni tofaut kabisaaa unatuchanganya TU swahaba gan alikesha siku ya kuzaliwa kwa mtume
2026-08-30 22:58:27
0
Salim Omar :
ww siye
2026-08-30 18:53:39
0
To see more videos from user @abdulhalimmrjn, please go to the Tikwm
homepage.