Unaweza ukahisi ni memes lkn ni ukweli kabisa me niliibiwa sm mwezi wa 3 nilikua club nilikua nimelewa bwiiii wenzangu ndo wanahangaika kuitafuta wanapiga nakupiga mm ndo nawatuliza nawaambia acheni bwana ntanunua mpya wamepiga mpaka sm ikazimwa me nikaona fresh tu imefika kesho yake mchana naingiza mkono chini ya mto nitoe sm hakuna bwana nililia mpaka macho yakawa kama ya mchina nikanunia rfk zangu siku 3 nawalaumu kwanini hawakuipambania tambo langu 😂😂😂
2026-08-31 15:17:01
56
Vicky Michael :
nacheza huku nalia wmbo ukiisha ndo nalia kabisa
2026-08-31 09:43:45
21
Mamu :
mm nitakuwa nasakata uno huku naangaria mwenye simu nzuri kuliko yang alafu naipitia 🥰🥰🥰
2026-08-31 12:05:53
36
hidaya hidaya :
ntacheza kwanza afu ndio nianze kulia🤣
2026-09-01 09:50:36
7
deeh🧸♥️ :
huu mziki unaitwaje
2026-09-01 05:39:27
8
Halimaty juma :
Ukipigwa unasahau hat kam umeibiwa sim😂😂😂
2026-09-01 09:44:23
1
To see more videos from user @tanzania_cruise2, please go to the Tikwm
homepage.