@teresiakibona: Mwanamke, ndoa si mashindano, wala si sehemu ya kukimbilia kwa sababu unaona wenzako wameolewa. Ndoa ni maisha yanayohitaji hekima, uvumilivu, mawasiliano, maombi na kujifunza kila siku. Kuna wanawake wanaingia kwenye ndoa kwa haraka kwa sababu ya presha ya familia, umri, marafiki, fedha au hofu ya kubaki peke yao. Lakini baada ya kuingia, ndipo wanagundua kwamba ndoa haijengwi kwa harusi nzuri pekee; inajengwa baada ya harusi.
Huduma ya Matumain Mapya
Region: TZ
Sunday 30 August 2026 18:50:53 GMT
Music
Download
Comments
Mrs/PETER LADIES POINT :
Tunaongalia Leo tar 1/9/2026 tujuane hapa,,, Ahsante sana mama🥰🙏
2026-09-01 12:28:17
213
graceous063 :
ahsnt mam nashkr san
2026-09-01 20:44:54
0
vivacious de Zacky 💘 :
jaman mwenye group la mabinti Ani add🥰🥰
2026-08-31 11:41:08
53
lumimo💖💖 :
asantee mama anguu
2026-09-01 19:40:41
0
Ms Appie :
Asante mama ujumbe huu umenifikia wakati sahihi kabisaa🥰.
2026-08-31 12:35:10
145
Christa :
Asante
2026-08-31 23:11:06
0
dojah African girl :
thanks 😊 🫂 🙏
2026-09-01 04:20:30
1
Angel Zebedayo :
Ahsante Mama kwa somo zuri hakika umetufundixha yaliyo mema MUNGU akubariki 🙏🏽
2026-08-31 06:06:57
77
happycreator370 :
Ujumbe umekuja kwa wakati sahihi Mungu azidi kukuweka kwa ajili yetu Mama🥰
2026-08-31 11:40:47
61
elizabethjohn7542 :
Tunahitaji wamama Kama hawa kwa ajili ya kutupa elimu zuri mnoo ubarikiwe mnooo🙏
2026-08-31 07:20:36
49
it's Me.. :
ahsant mama
2026-09-01 19:07:42
0
_mwengereza1 :
amen napokea
2026-08-31 06:43:43
28
Mrs Issah :
Ashanti sana mama 🤲🤲🤲🤲🤲💞😘
2026-08-31 05:41:30
17
Miss Boss 💝 ❤️ 💖 :
saaante sana kwaushaur wako mama angu Mungu akulinde
2026-08-31 03:00:14
67
Helena Mapunda :
asnte mama
2026-08-31 04:46:58
6
TSUMAI :
asante.
2026-09-01 18:58:47
0
mahusiano ya uhakika :
namshukuru MUNGU ndoa imenifunza maisha jmn duh ndoa ni VITA mm nilikuwa nikiona mtu anasema naona poa jmn huku nivita mazury yapo mengi na mabaya yakushangaza yapo oya so poa jmn ila katika YOTE namshukuru MUNGu nimeibuka mshindi 🙂↔️🙂↔️🙂↕️😌 ukija huku uje na akil timam nilikuwa nautoto ila nimekua ghafla siamin kama nimeyavuka vita kubwa achen MUNGU aitwe MUNGU
2026-08-31 16:13:13
6
pee🌸🇹🇿 :
Asante mama
2026-08-31 03:49:58
5
sky E :
Asante mama angu mzuri japo sisi wengine hatujui ni lin MUNGU atajibu lakin naamin ipo siku atatenda najifunza mengi kwa sasa Ili kesho yangu iwe kesho yenye msingi imara nakuelewa vizur mama ang ubarikiwe nawe pia 🙏🙏
2026-08-31 09:06:01
14
AGATHA♥️ :
Amen Mama Ubarikiwe sana🙏🙏🙏🥰🥰🥰
2026-08-31 06:08:58
10
jeanne❤️ :
Merci maman 💋
2026-08-31 04:36:26
3
aziza wa arony :
Amen
2026-08-31 04:22:00
2
Anna wanna :
asnt mam
2026-08-31 04:37:37
2
ANNA DANIELI :
asante mama mwema
2026-08-31 15:41:12
3
noella :
Merci beaucoup maman 🙏🙏🙏🙏🙏
2026-08-31 03:52:56
4
To see more videos from user @teresiakibona, please go to the Tikwm
homepage.