JAMANI hii nchi hatujawah kupumzik tangu October 29🤣🤣🤣mara Wema kajifungua, punde si punde Zuchu na baby shower hatujakaa Sawa miaka30 ya Bongo flavour na tunaanza kukaa Sawa Dotto Magari kaathirika,Dotto analet vipimo kutoka Zanzibar, mara Kuna mtu katoka kigoma na baiskeri mpaka kawe kwa mwamposa, mara police wamechukua simu ya pipytida mara Nchimbi anatupanga tudai katiba kabla hatujakubali Wema kawa single mother tunaanza kutaharuki Baba Nchimbi kajiuzulu haya tunaamka asubuhi kumbe CCM walimfukuza huyu Mzee sasa ndio nataka kutulia nakuta mwamposa kaangusha mchawi huko Arusha alikua anatoka bariad kwenda mbeya daaa hii kasheshe nayo sijakaa vzur kuna free juma jux🤣🤣🤣 cjakunywa ata chai mauwa sama ni mjamzito😂
2026-08-31 04:11:45
27
Irene Nassoro :
ila hiyo katuni mkao wake sas🥰😂
2026-08-31 09:50:08
17
lilkiddy_25 :
ila pippy 😆😅
2026-09-02 12:41:39
1
Aidan(Juniour) :
Shida anasemaga yoyote sasa watu wafanyaje.......😅😅😅😅😅
2026-08-31 04:56:19
9
code8 :
ila bongo😂😂😂😂
2026-08-30 21:49:51
4
shani de cute💯💯💗💗 :
nmecheka kwa saut jmn 😁😂😂😂😂
2026-08-31 09:30:46
2
kuruthumu omary :
🤣🤣🤣🤣daah🤣🤣🤣
2026-08-31 06:59:18
1
benny blanco :
edit nimeielewa
2026-08-30 21:54:59
6
𝓓𝓮𝓷𝓲𝓼 :
Vijana jauu sanaa🤣
2026-08-31 06:52:14
1
rahel cute💞 :
h😅😅😅
2026-08-30 21:59:10
1
miracle :
Jamani ni kweli sijuwi acha niulize
Mama gwajima ni nani. me nasikia watu wanamuogopa lakini sijuwi ni nani naomba mnambie
2026-08-31 15:44:31
0
Gemin :
sijui kwann ila nmecheka xanaaaa😂😂😂😂😂😂😂
2026-08-30 22:49:38
3
To see more videos from user @tambo____, please go to the Tikwm
homepage.