@kinagaubaga2:

KINAGAUBAGA
KINAGAUBAGA
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 30 August 2026 20:31:53 GMT
20007
1840
115
112

Music

Download

Comments

omondi62330
janabi jakowalo :
1Timotheo 4.15.16
2026-09-05 19:09:57
0
vladimi555r
Chairman :
uyu musalam nampenda sana uyu atafanya nikuwe muslam
2026-08-31 15:47:23
7
qajinsenior
SharuQajin :
mimi sijakutana na injili ya yesu jamani nimesoma hadi injiri ya yudah na barnaba lakini ya yesu sijaiona
2026-08-31 12:38:56
4
shalomwilliam0
shalom staford :
wafilipi 2…5…10 MUNGU ALIFANYIKA MWILI AKAUVUA UTUKUFU WAKE AKAJA KWETU
2026-08-31 06:12:43
2
kaka.mkubwa1993
kaka mkubwa :
Yesu ni Neno la Mungu, Kwaiyo Hilo neno la Mungu ndo limefanya yote,
2026-09-01 09:46:41
1
mr.nobody92797
mr nobody :
tulioelewa km mimi naomba tujuane mapema sanaa na km aujaelewa bs pita kama aujaona kitu🥰🥰
2026-08-31 07:58:24
2
pantaleojeremiah
PANTA :
neno afanyika na si kafanywa jua afanyika
2026-09-01 03:43:29
0
amanyohanashija
Amani Shija :
mbona hajasema huyo neno alyekuwa Mungu, kisha akafanyika mwili na watu wakauona utukufu wake kama utukufu wa MWANA wa Mungu ni nani?? sema huyo neno aliyefanyika mwili ni NANI?? shida ni kwamba mnamfananisha yesu na Issa
2026-09-01 17:19:03
1
fety0975
Fety :
Neno Maana yake Mungu alisema kunfa ya kun yani alitamka iwe na ikawa na mimba ikatungwa mtoto akazaliwa akapewa utukufu kama Nabii na Mtume me sijasoma sana thiolojia lakin mbona hiyo Aya iko waz Bila hata kutafsiriwa na sheikh ama padri
2026-08-31 14:20:54
2
denopeter11
Deno Peter830 :
utukufu wa Neno unafanana na utokao kwa BABA amina
2026-08-30 21:54:43
1
derriy1199
derriy_derriy :
minahisi binadamu tunasahau kwamba MUNGU nguvu zake hazina mipaka hapo tu😳😳😳
2026-09-02 11:04:46
1
ufufuo3
jiponye mwenyewe :
naye neno alikuwa yesu ambaye alimnenea Mungu akisema mimi ndimi
2026-09-01 04:45:48
0
kalinjumaelias
Kalinjuma Elias :
Mnaamini torat injili na zaburi lkn wakiwasomea maadiko yake mnayakataa wakati maandiko mnayoyataka hamnayo ?
2026-08-31 18:01:53
0
mwalimu9511
Mwalimu :
Yesu hajafanywa ila kafanyika, hiyo ina maanisha kafanyika mwenyewe.
2026-08-31 15:04:41
0
kenkenmaoka
kenkenmaoka :
kama io Dio elimu nimeacha kusikiliza wazee.andiko limesema alikuwepo tangu mwanzo na vyote vikafanyika kwake.alipofanyika mwili hakuumbwa bali alijigeuza na kuvaa mwili akaacha utukifu wake kama mungu na hapo ndipo philipians2:5,6
2026-09-05 21:27:47
0
scofarxezho0
scofarxezho :
natamani Sana kuwa fundisha haw jamaa
2026-09-01 05:30:21
0
mtumbe79
mtumbe mechanics :
hatari xn
2026-08-31 18:43:24
1
renatusraphael0
renatusraphael0 :
sheikh naomba tukutane na nakuomba nipigie au nipe namba zako. tuongee vizuri na wewe , mtangazaji nitafute tuongee vyote mnatafuta ukweli wa mungu hakuna amjuaye .......
2026-09-02 11:54:31
0
mwalimu9511
Mwalimu :
🤣 Pole sana ndugu zangu Waislamu. Nenda kahiji Macca kwanza Sheikh!!!
2026-08-31 15:01:18
0
yasinjuma807
yasini :
hiyo mambo ya mwanzo palikuwa na neno huo ni utoto kabisa mungu huwezi mfqnanisha na binadamu
2026-08-31 09:09:57
1
salainstambulimohamed
Dr saleh stambuli Mohamed :
Masha'allah barkallah ya cheikh
2026-08-31 19:36:16
1
mathna.mohamed4
Mathna Mohamed :
subhannallah ametakasika mola mlezi wa arshi tukufu yeye hahitaji msaada
2026-08-31 11:26:50
2
innocentmushi596
MushiTz :
hamna kitu hapo. hakuna mwalimu hapo
2026-08-30 21:17:39
1
kawambera
kawatuti Rachel,abiaele :
mwanapehe ni yesu
2026-09-04 15:32:53
0
omondi62330
janabi jakowalo :
Ufunuo 8.26
2026-09-05 19:12:58
0
To see more videos from user @kinagaubaga2, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About