content creator 🥰❣️💯 :
mimi nakumbuka tu vizuri it's was on Tuesday evening 🌆, nilikuwa natika salon nikapatana na mama wa kwanza akanisimamisha akaniuliza unaweza nionyesha njia ya kuenda supermarket ya k_mall nikamshow naweza wapeleka najua mahali iko,,vile nilikuwa na haraka ilibindi tu niwapeleke,, alf before Tuende akanishow naweza kuambia kitu,, nikamwambia ndio akaniambia naona kuna wachawi wawili wanakuroga wakati wa periods zako,nikamwambia exactly period yangu huwa inanitesa sana,,mama mwingine akatokea hapo nyuma yangu akamsalimia,,mimi nikadhani hawajuani,,huyo mama hanajifanya nabii akaniuliza mbn naona jirani wako ndiye aliua brother ako huyo mama wa pili akamuuliza umejuaje akamwambia yeye ni nabii anaonyeshwe na mungu,,akamuuli atoe sadaka ndo amuombee,,mama huyo wa pili akatoa alafu kama unaniami niachie hizo vitu zako ukonazo na nitakutuma mahali uende uombe na ukiwa unatembea husihangalie nyuma mama huyo akafanya alivyoangizwa akaambiwa aende hapo chini ya transformer afunge macho aombe ataskia sauti ya huyo brother ake aliyeuawa akimwelezea jinsi kifo chake kilihappen huyo mama wa pili akaenda akaomba then akarundi akamusimulia alivyo skia sauti ikimuelezea,,alafu huyo mama anajifanya nabii akaniambia nataka ufanye hivyo tu huyu mama alivyofanya,,na akaniambia kama hunatuamini utuachie hizo vitu zako zote,,nikawapatia na nikaenda mpaka hapo kwa transformers kurundi sikuwaona tena wallae,,nakaanza kuulizia watu if kuna wamama wawili wameona wakaniambia hapana,,kuulizia mzae mwingine hapo ananishow ameona wamama wawili wakiingia kwa gari,,my friend na hivyo ndivyo simu yangu na pesa zilipotea,, saai ata nipatane na kiwete aniukizie mahali nikumuacha hapo akufie hapo
2026-09-02 19:14:02