@veriafya: Umekuwa unahangaika juu ya mbinu gani uitumie katika kufanikisha zoezi lako la kufunga chakula kwaajili ya kuboresha afya? Kupitia mahojiano aliyofanya na Upendo Media, Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika, Prof. Mohamed Janabi anashauri utaratibu mzuri wa kufunga chakula kwa mwezi mmoja, msikilize ujifunze
Mzes Janabi,namkubali sana..anapambania sana afya zetu zikae sawa ila watu hawataki kumuelewa.
2026-08-31 12:31:55
3
fanta :
hap nmeshakula mdudu nusu na ndiz3 na coke 😭😭😭 ndo najuta ssa😂
2026-08-31 12:30:36
0
Burak :
team leo jamani tuanzeni
2026-08-31 08:10:48
2
Mr.V.T :
FACTS
2026-08-31 15:09:18
1
Fatuma Suleiman :
na mie nanza leo
2026-08-31 07:16:07
1
MKINGA FIGHTER💪 :
Ndo mfumo wangu saivi nikihamka asubuhi sili kitu mpk saa 12 jioni mpk kesho yake tena saa 12 yaani saivi fresh asante sana docta kula kula ovyo kunaharibu mwili mtu anamka asubuhi anakula supu chapati 3 na juice juu alafu mchana anakula ugali nyama choma na usiku anakula wali nyama duuh ulaji gani huo hamna anayehamka na njaa asubuhi ni mazoea tuu
2026-09-06 13:40:14
0
SHAMAELAH :
nimeanza leo
2026-08-31 07:11:16
0
Antony :
Jamani mzingatie, hii ni kwa mtu anaefanya kazi ganiii???
2026-08-31 15:46:55
0
Bella :
Naanza Leo
2026-08-31 08:20:58
0
makiswin :
Nikweri mie nakula Mara moja nanimepugua uzito
2026-08-31 06:46:41
0
Chloe🌹🔐 :
tunakushukuru doct jinabi kwa elim yako kwa watanganyika kajua afya zao wewe ndiye kiongozi wa kweli.
2026-08-31 09:38:00
0
source :
mimi nakula kwa siku mara moja tu.Nakula vyakula vya protin na fibre zaidi.
2026-08-31 16:56:18
1
Beautix16 :
İnafanya kazi nilikua nakuja na sukari sasa ivi niko sawa nashukuru mungu japo nimepungua
2026-08-31 08:02:55
0
omega :
nahapo unapaokula sio unakula wali kilo Moja au ugali nusu kilo hapana punguza na kula yako
2026-08-31 08:37:54
2
Elizabeth Chikoti :
MM NIMEMUELEWA JE KAMA UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO HUWEZI KUPATA SHIDA NA HII RATIBA YA MLO
2026-08-31 15:00:18
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm
homepage.