@mamafilipo1: Ila utoto raha sana😅😅😅😅😅🙌💔#mamatanzania2 #funnyvideo #comedia #fyp #viral

mamatanzania2
mamatanzania2
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 31 August 2026 07:57:29 GMT
292889
20406
796
1714

Music

Download

Comments

ngochangomale
Ngomale Anna Ngocha❤️🤍 :
Mtoto wa dada angu nikiwa form 4 teye form one, alikua anakuja anasimama mlangoni anaita mamdogooo bibi kasema nikuletee huu mwindi😂😂😂😂 hadi darasa zina wakaanza kuniita mamdogo😂😂😂😂😂
2026-09-01 06:14:41
519
user607080105927
Jasmine🥰 :
ila we dada unanikosha
2026-09-04 20:03:38
0
priscamendez5
Prisca Mendez :
Yaan nikirud nyumban naweza mpa kichapo mpaka achanganyikiwe😅😅
2026-08-31 09:41:15
339
cratustz
cratus tz :
bora hata ameanza na salam
2026-09-03 14:32:33
0
user3753756968862
fiter girl :
mimi mtoto wa dada angu alikuaga anakuja anasimama mlangoni alafu ndani kajaradia gauni ref kuzidi sare ya shule🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁
2026-09-01 09:17:29
228
the_real_constant
𝐂𝐨𝐧𝐬𝐭@𝐧𝐓 🦅 :
vi form five hvyo 😂😂
2026-09-03 17:36:35
0
angel.dee.cute
Angel Dee Cute :
sasa mbn huyu mama philipo anagusaga mulemule mm nashindwa kuelewa
2026-08-31 08:32:35
196
mocter.queen
Mocter queen💕💕 :
Nmekumbuka nilikuwa darasa la saba mimi na mdogo wangu yeye alikuwa darasa la pili sasa tulivyo kuwa tunatoka nyumbani tulikuwa tunabeba wali wa jana usiku mimi ndio nilikuwa nakaa nao uwiih ikifika mida ya kula sie tupo darasani anakuja darasani analia ana njaa naomba wali 😂😂😂🫴🏼aibu
2026-09-01 21:38:35
90
tenacity827
tenacity☺️🤟🤟 :
nakupenda sana mama philipo
2026-08-31 08:00:08
98
janelle7286
janelle :
siji shule mwezi mzima 😂😂😂 staki aibu ndogo ndogo 😂😂😂
2026-08-31 10:49:56
93
gift.gamassa
Gift Gamassa :
Wang alinifuata nikiw na rafiki zang home akasema lile sufuria la uji unalamba au niweke maji aiseee nili mbondaaah😂😂😂 veep
2026-09-01 18:07:46
52
officalcrister
Crister♉️ :
Mimi wangu alikuwa anakuja kulala mlangon njaa ikimuuma😂😂😂 adi mwalimu anasem nend kamchukulie mihogo nitalipa🙌😂
2026-08-31 09:25:19
68
mamy.shop59
Mamy Shop :
dada Ang alikuwa akinificha chini ya dawat ili ty nimsubili mpk saa 8 tuondoke wote😂😂😂
2026-08-31 20:05:23
10
tauhida2696
@idah2696 :
sisahau mtt wa dadaangu alienda darasan kwetu akasema nimekua mwari nimepelekwa kwa mamaake sitokuja wik nzima 😌 narud nakuta darasa zima linahabar km nimeikua mwar😂
2026-09-01 13:25:39
28
ceslyfocus75
akcsa ❤️ :
😅😅😅😅mdogo wangu alikuja uchi nashati 2 alaf makamasi yanamtoka kashika kikombe anaita dadadada mwalimu akasema mama yake aje hapa sito sahau 🤣🤣🤣
2026-08-31 12:38:21
37
thomm110
Thommy_the_Baddest :
mm nilivokuwaga darasa la pili sijui kwann mama alikuaga anakuja mda wa mapumziko darasani kwetu anamchukua na mdogo wangu na chupa ya uji wa ulezi ananimimnia ananisimamia niunywe hadi nimalize basi wanafunzi wezangu wananiangalia nilikuwa najiskia aibu
2026-09-03 15:33:32
5
oliver.agripa
oliver baby♥️💓♥️ :
mtóto wa mama angu mdog alikuwa anakuja ananambia dada tumekubakishia kiporo cha ugali na kisamvu kipo jikon kwenye sufuria wakina mama wapo shamba mda uwo yeye kaja shule saa4 😂😂😂
2026-09-01 16:09:54
11
nah.j38
nah j :
Me mdogo wangu alifata darasan ety mama kasema viombo vinakusubiri nyumban
2026-09-02 05:00:52
7
cutemamy67
chuba :
ndogo wangu kila nikiwa kwenye kipindi ndo anakuja kudai hela yake ya kununuwa mihogo na kachori na anatabia ya kuchungulia dirishani. ilo aonekane mpaka naona aibu na ukimkataz anarudia kama anapotez kumbukumbu🥰😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅
2026-08-31 18:49:52
7
happy.amiialex
Happy 😃 Amiialex :
sijuih nitamfanyah ninih huyoh dg af naam shuleh
2026-08-31 08:01:29
23
avriltravie20
aviihair43 :
hii ni kweli 🙌 kbs ndugu yangu akuosha vyombo mama akabeba beseni anapeleka shule akavioshee huko huko 🤣🤣 shule aikua mbali na nyumbani wenzie wakamuwahi kumwambia kua bibi Ako anakuja analeta besen uishe vyombo alitoka mbioo kumuwahi🤣🤣🤣
2026-09-01 10:06:40
6
dorah.da.apple
dorah da Apple :
Mie mdogoangu aliingia darasani kwetu Mie nikajifanyisha naumwa mwalimu akanipa ruhusa yakurudi nyumbn nilipofika nyumbani nilimchapa hakurudia tena 🤣🤣🤣🤣
2026-09-01 08:39:37
5
shaxxy.nana
Shaxxy Nana :
tutakutana nyumbani icho kipigo hurudii tena😂😂😂
2026-08-31 10:34:50
20
jostem6
Jey Dan :
duh umenikumbusha mbali sana ilikua adi walimu wakawa wananionea huruma 😁😁make wadogo zangu mara wankuja unaitwa namwalimu kwenda surualii aina zibu mwingnee amkuja miguu Ina masinzi ,,,....mwingne ameweka boboro kweny bag madftari yameloa Yani 😁😁😁😂😂ad walimu wakasema Mungu akulinde ila saiv nauza boksa na chupi za wadada Niko Arushaa 😅😅
2026-08-31 19:08:14
13
To see more videos from user @mamafilipo1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About