@abuu.umaymah: #trs #fyppppppppppppppppppppppp #zanzibar

Abuu Umaymah
Abuu Umaymah
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 31 August 2026 08:01:34 GMT
5694
116
37
8

Music

Download

Comments

kambiaso150
@kambiaso1 :
nilikuwa nasubili tuongee kumbe
2026-08-31 14:57:22
1
ukwelimchungu2
MR.X :
Uzanzibar unaingia vp?Mapinduzi yalihusu ukombozi wa nchi,2000 wanaharakati walipiga kelele juu yaliyotokea Zanzibar kuomba IGP ajiuzulu,Inayosemwa ni Taasisi si Mzanzibar wala mwanamke..Vifo si jambo la kushindanisha wapi waliuwawa wengi..Kwani Fatma Karume alivyokuwa akimsema Magufuli ilikuwa ni kwa sababu ya Utanganyika wake au ni moja ya harakati ya kudai haki?
2026-08-31 14:43:16
1
pwelamikoy766
pwelamikoy :
ni sahihi umenenA
2026-08-31 14:05:16
1
alisaleh1223
alisaleh1223 :
hilo lipo wazi tunalijua Wazanzibar
2026-08-31 09:51:27
1
user4741493943374
user4741493943374 :
iyo ipo wazi kaka wanateseka sana ila yataisha tu
2026-08-31 08:36:31
1
rexfordkulewa
zola 1234 :
Hivi hapo brother imetajwa Zanzibar?Rais Ali Mwingi alitokea wapi?NAO tafsiri Yako sio nzuri?mbona wanaharakati walikuwa wengi tu kipindi Cha Magu?acha kufanya mrtizamo wako kuwa wa watu wengine
2026-08-31 14:34:25
0
khabil.og
Khabil Og :
Unaumia
2026-08-31 13:34:27
0
youngkibo4722
young kibo :
hujamuelewa profesa!!!!!
2026-08-31 15:50:41
0
da_prime_perspective
Saeed_In_Focus :
Subhanallah
2026-08-31 13:39:21
0
ntahondi95
✍️Ntahondi :
Si kweli,
2026-08-31 14:27:12
0
said.sofo
Twetwe :
Baba hakika umechoweyaa!
2026-08-31 13:58:56
1
eddykibonzo
Eddie785 :
Kumbe kawaida tu nchi nyingi yametoka sio mbaya
2026-08-31 14:37:15
0
user4942610691661
user4942610691661 :
nilichudundu ni ulofa wa mwalimu wako wa sailcolog
2026-08-31 14:44:17
0
kgb_survivalist
KGB SURVIVALIST :
Hahahahhahaha we unawafuatisha Mzee Warioba na Tibaijuka.! Hao ni wanaharakati.
2026-08-31 15:59:18
0
user7618872753045
user7618872753045 :
ndio mujue hawa sio wenzetu tunaajipendekeza kwao t
2026-08-31 15:59:12
0
dwsdanny2
DWS Semfuko :
Kwani ni mara ya kwanza mzanzibar kuwa pale?? ni uelewa wako ndio inakupa hiyo tafsiri. lkn sio.
2026-08-31 15:50:28
0
ramadhan.ramadhan868
Ramadhan Ramadhan :
hivyo hapo anataka kujivua uhusika wa mauwaji ambao serekali y tanzania ilifanya kipindi hicho yeye akiwa mmojawapo wa vio going wakuu w hii nchi n anachokilaum sasa n sawa n kile yeye alihusika kukifanya
2026-08-31 15:22:37
0
yohanankwabi3
yohanankwabi7 :
Kwa mjibu" psychology" na wewe umekasirika? kama hujakasirika, tunakusubiri ukasirike!😂😂😂
2026-08-31 14:53:56
0
oi15096
oi :
tatizo ni udini
2026-08-31 16:27:14
0
user8354912772857
comas :
kwani unazanihuymmaniwezo
2026-08-31 14:13:44
0
ramadhan.ramadhan868
Ramadhan Ramadhan :
political motivated killings hapa tanzania zilitokea mwaka 1995,2000,2001,205,20i9,2015,2020 hivyo prophesy asisome malaria tu ashuke chini aone yeye kama waziri aliehudumu miaka hiyo kile walichokifanya katik kuhusika n huo uwaji
2026-08-31 09:02:36
1
ditadoro
DITADORO :
Maranyingi historia inatueleza kuwa chanzo Cha machafuko mengi ni wasimi wenye ubinafsi
2026-08-31 16:55:10
0
To see more videos from user @abuu.umaymah, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About