@thevoiceofafrica21: Je ni kweli Maeneo ya Kambi za Jeshi letu la Wananchi Yanabifsishwa na Serikali? #TheVoiceAfrica #tanzaniatiktok🇹🇿 #siasatanzania #foryoupage #viral
Ipo hivi issue ya CONFLICT of interest ni ugonjwa kwa Watanzania wote msituchanganye,na hata hizo ISD mnazosema zingekuwepo sasa unataka wapewe akina nani kama ni wazawa ni hao.HAPA UNGESEMA JE WANALIPA STAHIKI ZA UMMA ( Serikali) .LINAPOKUJA SUALA LA KUTOLIPA KODI HAPO UTALAUMU HIYO CCM Nchi aliwadanganya Nyerere mkawachukia Wahaya kuwa wakabila ,sasa mshangae Muhaya hata akiiba sanasana pesa utazikuta Bukoba tena nyingine humuhumu nchini sasa hao mnasema Kabla ndogo wapo Maskati,Dubai,Bombay,Canada etc bora wachaga na wahaya na wanyakyusa pesa nyingine utazijuta majumbani.LAKINI NIKUOMBE HIZO SIASA ZA KILA SIKU KAIBA HUYU ,KALA HUYU MZIACHE MNAEANEZA CHUKI.HAPA TUPAMBANIE PESA YETU IWE NA THAMANI ,haiwezekani Tshs 10,000 (Ugali kwa dagaa),Lakini usd 10,000 ( IST na change unaoa na kufanya harusi bab kubwa)
2026-08-31 12:01:56
0
Elina Gordon :
lokubwa msikata tamaa watz tuendelee kupambana
2026-08-31 10:29:48
4
user3244257218612 :
ila munguatusaidiye
2026-08-31 10:34:45
2
Amin_fakhi :
Inauma sana hii 😭😭😭
2026-08-31 09:48:45
2
Edithagb068587 :
mm nimepita pale zakhihem nikakuta sheli imeandikwa GSM nimekumbuka tonetone nimechoka
2026-08-31 10:39:28
4
msukuma mnywamaziwa :
😏😏ukweli m2pu
2026-08-31 11:29:37
1
user84521130034584 :
fact
2026-08-31 10:24:57
2
369 code👹 :
mzee anajua mengi mno 😎
2026-08-31 19:01:42
0
Wabusara :
Swadakta mzeee na lawama anabebeshwa dereva mtihani kwakweli kwenye hii nchi
2026-08-31 16:53:10
0
Iq@ :
Akika nikweli
2026-08-31 17:09:30
0
manvet :
Hii balaa kwa kweli 😢😢
2026-08-31 16:09:38
0
Nmwakalebelagmailcom :
Imagine sehemu ya jeshi hata mtu akipakia mabomu kwenye containers si atalipua kambi au usalama wa taifa upo wapi
2026-08-31 17:09:21
0
mabruck.ze.don :
Fact👏👏
2026-08-31 20:06:37
0
Samtom :
Sahihiiiiii
2026-08-31 11:43:48
0
Emmanuel Jacob :
kama mbagala jeshin nihatal🤣🤣🤣
2026-08-31 10:40:17
2
qvs777 :
bora useme wewe mimi nilishangaa sana huyu jamaa anaetumika kama alivokuwa akitumika Yusufu Manji wakati ule
2026-08-31 16:52:58
0
Kassim Mwitu :
keer
2026-08-31 17:05:47
0
black tiger :
ufwala😅😅😅😅
2026-08-31 18:38:26
0
khalidimaghambo :
watu wanachekea usoni 😂😂😂😂
2026-08-31 11:27:50
1
To see more videos from user @thevoiceofafrica21, please go to the Tikwm
homepage.