@digestivesolution1: Follow kwa ELIMU Zaidi. #HealthTips #digestivesolution #acidreflux #janabi #tanzaniantiktok🇹🇿

Digestive Solution ®
Digestive Solution ®
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 31 August 2026 09:51:25 GMT
120095
4306
120
690

Music

Download

Comments

margaretngunjiri32
Maggie shiko :
HIPS TENA DR.😅
2026-09-03 13:34:20
1
sheila9505
sheila :
very ture this my life I never go to hospital
2026-09-01 17:17:41
2
user2326119955127
Our lord Jesus is every thing :
much love
2026-09-01 23:38:56
0
alice.mkk6
Alice Mkk :
kweli kabisa.mm nakula twice every day and I feel healthy and strong than b4.kiamsha kinywa nala saa Sita,jioni nakula saa moja nakaa mpaka kesho saa Sita au saba.
2026-09-01 04:05:30
16
rebelfarmer1
rebelfarmer1 :
will try this
2026-09-01 17:33:25
1
user9038756088734
brightness :
m tumbo halipungui nimechoka
2026-08-31 20:23:05
2
karesh204
karesh :
Kun wakati nilifunga dry siku tatu.. nilipenda juu nilikua fire.. yn nikianza kuomba naguruma km simba
2026-09-01 11:20:08
8
ibadi.issa
Mtu muhimu :
Fungeni, sisi waisiramu tunafunga mwezi mzima.
2026-09-03 05:55:23
0
user4551159852478
cookie 🥞🍪🌹🫦 :
iyo saa sita nakula chçht au
2026-08-31 21:21:02
3
_nicasabr
@Nicasabr❤️ :
Hello je kama inanyonyesha ,hapo nifanye nn
2026-09-03 07:19:11
0
fadhilimafungwa
FADHILI ABDALLAH :
dokta kunawatu hatuna kabisa uhakika wa kula.
2026-09-02 23:11:27
2
selina.s573
selina s :
Hii imenisaidia sana nashukuru
2026-09-02 18:12:17
1
aishaha.kondo
Aishaha kondo :
dokta mimi maisha yangu niyakawaida ugali dagaa maharage ubwawa nashindia kazi sikai chini mpaka sa 10 jioni ninamawazo yamaisha kibao sasa kinacho nishangaza najiwa na unene mkubwa mpaka miguu inauma kunamtu ameniambia nidalili za magonjwa makubwa je kunaukweli,? nisaidie
2026-08-31 20:23:54
2
lucykazungu
It's nana :
ambacho najiuliza je ukikaa njaa kwa muda mrefu unaweza kupata vidonda vya tumbo?
2026-09-01 06:51:34
0
kidd4398
kidd :
Dr ukweli mtupu, shida watu wanapenda sana kula, hapo unampigia mbuzi gitaaa tu. lkn ukweli ni kwamba kula mara moja tu. Huu utalatibu wa kula mara tatu kauleta nani?
2026-08-31 21:03:30
2
sirjohnchairman3
@chairman :
from Kenya JK ni ukweli
2026-09-01 03:31:39
4
bintyzaky_salon_mtwapa
BINTYZAKY 🇰🇪🇹🇿 :
ndio Maisha yangu Na sjafa
2026-08-31 19:27:27
4
fundnlly
Fundnlly :
hiki ni sahihi kwanza uzito na mwili hupungua
2026-09-02 22:39:57
1
rachel.gunaguje.m
Rachel Gunaguje Medan :
Mimi ni shuhuda na huo ndio ukwel
2026-09-01 09:29:16
2
sarahmureithi300
sarahmureithi300 :
na wenye tunameza dawa asubuhi tunameza tumbo tupu?
2026-09-01 18:19:14
1
nsimire.iragi
amani :
asante nitafanya ivyoiyvo
2026-08-31 17:59:10
2
lilian.kilo3
Lilian Kilo :
ndomana umekonda kweli naumwa ila kula sawa nitajalibu
2026-08-31 18:47:40
2
saum412
NAOMI BISHANGA :
nitafanya ivoo
2026-08-31 18:25:21
2
nasrafrancis
NASFRANCIS :
nikweli dokt nimekufatilya sana nafunga kwa wiki mara 2nakula mlomoja nilikuwa na mwili mkubwa sana kilo 100 pwenti 3 nakwasasa nakilo 69 nashukuru sana atamaradhi ya tumbo miguu kuuma mgongo kino sina tena nafanya sana mazoezi yani nipo vizuri sana
2026-09-01 02:00:06
4
happy.luka.sirikw
Happy Luka Sirikwa :
nimejaribu nimepungua ya ela yote
2026-09-01 17:46:32
1
To see more videos from user @digestivesolution1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About