siwezi kumlaumu mwenye shamba huenda yupo sahihi. asa kama mtu unamwambia usilishe mimea yangu yeye anapeleka mifugo yake we unafikili itakuwaje
2026-09-01 13:43:53
161
mtimkavu :
sas mbn mmepost 15h ago
2026-09-01 20:42:57
0
amina ussi :
wale ambao tunajuwa ugumu wakulima huku kuiweka matamanio kwamba nikivuna familia yangu itanusurika njaa na haitazaririka kwachakula ndio tunaungana na mkulima mwezetu🤝🤝
2026-09-01 18:38:36
59
msabighati1 :
gxhshiw bdxnnsajaj@
2026-09-01 15:45:58
0
Irene :
polen hii haiko saw🙏
2026-09-01 20:46:44
0
daniel werema mwema :
Wafungaji ndo tunajua maumivu kama haya
2026-08-31 12:56:42
134
suzy hima :
tatizo wafugaji wanazarau wanatuonea sana sisi wakulima
2026-09-01 07:04:02
28
Mwana❤❤❤ :
Hao kama niwamai ndo vizur hua hawasikii wala kueshim chamtu
mtu unachunga shamba la mtu afu akifanyiwa yeye analia na watoto wa mtu wanalia njaa kiujumla kila kitu kitu ni muhimu kwa kingine kama ilivyo kwa binadamu kila mtu ni muhimu kwa mwenzake
2026-08-31 12:57:35
118
salehisimbula :
ubaya ubwela
2026-09-01 10:15:55
9
sylviamalaika7 :
Sema watu wanakuaga naloho mbaya sana atakama wamekula mazao ndo mfanye unyama uuu domaana mimi sipendagi binadam wenzangu bola tu nikae mwenyewe
2026-09-01 13:04:04
24
G G DON :
kipi kina thamanii kati hizi mifugo zote na hiyo shamba huyu ni muuajii kabisa tumkabizi mungu aseme nane kwakweli amjibu pigo kubwa sana😭😭😭😭😭😭
2026-09-01 17:28:41
17
elikana bahati :
polen san jamn
2026-08-31 12:03:41
1
Wini Frida :
pole san
2026-08-31 12:54:40
1
pretty 😍 atapiusi :
hapo 50/50 uwez jua nikwa nn mtu mpaka kafikia hatua kama huo
2026-09-01 17:49:13
7
neema :
japo sina ngombee ila hiiii sio sawaa serikali iangalieeee hiliii kwaaliefanyaaa hiviii kwasababu ziko adhabu nyingi lakini sioo hiiiii inaumiza niiukatili kibinadamu pia kwawanyamaaa mimi imeniumizaa ilaa sina sautiiii tuu😭😭😭😭😭