@sunacademy0754484321:

SUN ACADEMY SCHOOLS IRINGA
SUN ACADEMY SCHOOLS IRINGA
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 31 August 2026 11:21:57 GMT
44251
853
56
332

Music

Download

Comments

kggni
Pba :
Hizo resources mumeshazitayarisha au ndo businesses as usually
2026-09-02 09:36:00
1
the.wannadallass
The Wanna~Dallass :
How about Facilities ?
2026-09-02 07:00:22
0
dianarugemalira67
Diana Rugemalira :
mmmmmmmmmm
2026-09-02 12:26:51
0
gasparkisinza
GASPER KISINZA :
FORM V NA VI NI KUPOTEZA MUDA ITOLEWE
2026-09-01 16:09:37
8
lamejok
Menye Irmegoliki. :
Hamna lolote siasa tu.Kwa miundombinu gani?
2026-09-02 07:02:06
4
gastondaniel34
Kwebeke@ 2000 :
mara miaka sita tena kumi, duushida nini ?
2026-09-02 10:41:28
1
user5019579156177e
@chawala :
cy lazima mwanangu asome
2026-09-02 12:03:35
0
user8683540878205
anord jr :
mkuu umeongea vizuli ila mifumo ya msingi na sekondali bado yule yazamani kwanini mmebadilisha mtaala ikuwa hamjaandaa
2026-09-02 15:19:24
0
naomisaileni
Naomi Saileni :
mi naona mngebadilisha mitaala ya elimu muweke elimu Bora kuanzia la kwanza waanze kufundishwa kwa kiingereza mpaka la saba form one mpaka form 4 ndo muanze elimu ya mafunzo nawalimu wa shule za msingi muwaongezee mishahara ili wapunguze mishango kwa wazazi mana tunakoma kwasababu hamuwalipi vizuri kuliko koongeza miaka mnafanya watoto wasiojua kufanya hata kazi za nyumbani
2026-09-02 10:11:50
2
bk.decoration.even
BK DECORATION EVENT :
fimbo hakuna mana vijana ni wadogo wanahitaji kuangaliwa
2026-09-01 16:03:22
3
user5801596080145
Samwel Sungura. :
🤣🤣🤣🤣🤣 Kaz ipoooo
2026-09-02 15:53:00
0
seif.kabelele
Seif Kabelele :
OK
2026-09-02 17:04:50
0
ernesto.chaye
Ernesto chaye :
na watoto wenu wawe wanasoma huko
2026-09-02 15:22:08
0
user1829326970094
juma salehe @ :
bwana weeeee elimu zenyewe mnatupa hata hazitusaidiii tumemsoma Carl max uko vyuoni mtaani sijawahi kukutana nae.mtubadilishie hzoo elimu 😆
2026-08-31 11:40:10
5
skylarpurple1
user7975025797265 :
Wazir toka ofisin tembelea mashule, Rushwa imezid shule za serikali hakuna kufundisha
2026-09-02 08:51:53
1
dativa.msacky
daty :
misijaelewa lakwanza nimiaka 10 au nimeelewaje apo nieleweshen jaman
2026-09-02 09:57:09
1
atway20
sakinaatway :
miaka sita shule ya msingi yn darara la kwanza hd la sita ,ukiweka na miaka mi4 ya sekondari inakua 10
2026-09-02 18:35:33
1
user157335897
c*fahari :
jamaan mtuache khaa wengine tumezaa na umri mkubwa mnataka mtucheleweshe tena kwenye kusomesha teena
2026-09-02 15:18:25
0
verenamgele
VerenaM :
kinacho umiza 200 mala elfu moja mitiani yaajabu ambayo hairoki kwenye mitihani kwakweli mimi nimechoka kwa Elimu.ya sasaivi imebakia kuwa biashara tu walimu wanaumiza wazazi kama selikari haijui ?
2026-09-02 10:16:25
0
kimkimath506
Kimath Lello :
Serikali bhana, kila kukicha mnapindua pindua hii elimu kama gunia la viazi, hata nyie wenyewe hamjui mnatafuta nini lini na kwa nini. Mkiri tu Ajira kwa wahitimu wa nchi hii zilishawashinda mnatafuta tu pakuchoropokea hakuna chochote chenye tija mlichokilenga. Kila utawala na na mikakati isiojua itakamilikaje ilimradi tu kuwakoroga Wananchi.
2026-09-02 09:45:31
0
user9541681388322
🥰🥰 :
hizo ni siasaaa
2026-09-02 20:45:41
0
user76813681755935
user76813681755935 :
ondoeni 5. 6 kupoteza mda
2026-09-02 14:32:21
0
johnmajondokitull
johnmajondokitull :
Elimu ya ufundi stadi mlichelewa Sana kuling'amua mapema ni Elimu Bora Sana kwa Taifa letuna bara letu la Africa kuliko kuwabebesha masomo yasiyo na maana ,hivi mtu anakufundisha eti binadamu katokana na Nyani mara mguduzi wa ziwa yaani tumelishwa matango Poli ya mkoloni miaka mingi.tena Yangebakia masomo ya Sayansi Tu na lugha.
2026-09-02 10:16:32
0
user8060682745255
Julius Labour-run :
shida ni miaka au kile anachofundishwa mtoto
2026-09-02 13:07:34
0
user7032356255421
emerita :
Hadi mitano
2026-09-01 18:49:22
0
To see more videos from user @sunacademy0754484321, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About