kwa namna fulan uko sahihi. ni kama mtu anayeamini ushirilina pia. kila jambo analopata maishan anaona karogwa bila kujitazama yeye binafsi ni mahali gani ameshindwa kuwajibika kikamilifu ili kufika level fulan ya maisha. Maombi na uwajibikaji ni vitu ambavyo inabidi viende pamoja ili kutuvusha kwenda level nyingine!
2026-09-01 04:37:00
0
Mtoto wa mchungaji :
Umeegemea ktk ukweli
2026-08-31 17:02:08
0
Petro Hagire :
na wasiyo walokole.wao vipi
2026-08-31 20:34:48
0
user5861665869092 bi FCU zoo D :
Ahsante ahsante sana nimekuelewa🙏
2026-09-01 18:38:34
0
Jane Altar :
uko sahihi.Nakuelewa sana.
2026-09-01 16:52:06
0
Jeremia Ezekieli :
nimekuelew isipokua nikuulize swali je unaamin shetan yupo
2026-09-01 16:50:50
0
Prisca :
Nina shida na ww plz nitafute
2026-09-01 16:00:03
0
Lizzy issa :
uko vizuri dada mungu akuongezee maarifa zaidi
2026-09-01 15:04:04
0
Emmanuel Enock Benjamin :
👏
2026-09-01 18:16:08
0
To see more videos from user @madamemmiy0, please go to the Tikwm
homepage.