@emanuel_walwa: Je, unajua kujenga nyumba na kuishi ndani yake kunaweza kuwa 'liability' badala ya 'asset'? 😱 Watu wengi wanakimbilia kujenga kabla ya kuweka misingi mizuri ya kifedha na kujikuta maisha yao yameharibika. Mtazamo wa matajiri kuhusu kujenga nyumba ni tofauti kabisa! Kitabu cha MAISHA NI ZAIDI YA CHAKULA-Engineer Kabenda kinapatikana kwa mawasiliano-0779928867 🔔 Subscribe na Tazama video nzima YOUTUBE SCCULT ONLINE TV #PawaPod #ElimuYaFedha #KujengaNyumba
Maushauri ni mengi... fanya vile unavyoona mipango yako iko vzr .. tujenge wanangu pesa huja na kupotea...
2026-09-01 06:01:11
37
David Myalle :
Jenga uwe na kwako
2026-08-31 18:11:45
8
Jack Ma :
Hivi mnajua tabu za kupanga nyumba jamnii
2026-09-01 05:46:08
9
whsfinnest :
NAWAMBIAGA VIJANA KILA SIKU MTU ANAOTEA MILLLION 20 ANAJENGA KIBANDA BAADA YA KUWEKEZA😂
2026-09-01 10:19:18
9
Dick da prince :
tulio jenga ndio tunajuw anacho zungumza huyu
2026-09-01 02:04:10
8
ki.m :
fainal uzeen
2026-09-01 18:39:55
1
kelvin_Mveti :
Kumbe na mimi ni tajiri sijajenga bado😅
2026-08-31 18:46:20
5
user8763323540435 :
Tajiri gani hana nyumba?
2026-09-03 20:21:17
1
Ⓐ︎Ⓜ︎ :
Hiyo ni kwa mtu ambaye hana cash flow... amepata pesa ya zali la mentali... kama una cash flow nzur jenga...
2026-09-02 15:36:45
1
Hamada salumu mbukuzi :
nyumba ni assets father na ukitaka liabilities unaamua wewe mwenyewe . ukijenga nyumba na kupangisha unaweza ukapata mara mbili ya mshahara wako bro na matumizi mengine bro Sasa kwann tusijenge nyumba na mshahara unao. liabilities na assets . lazima uwe na assets, mfano biashara,nyumba ya kupangisha na sio nyumba ya kuishi wewe mwenyewe. so unaweza ukatajilika kwa assets na sio liabilities
2026-09-07 07:02:02
1
crystalrhymesoffi :
sio kila unachowekeza kinazaa
2026-09-01 16:53:43
1
Moreentokyo4 :
kwahyo tuseke kwenye nyumba za watu ?
2026-09-01 15:20:49
2
diga diga :
zinapoteaga kaka
2026-09-01 15:35:32
1
Eugen_Business :
Nyumba ya Kupanga ni long term Liability, na ukiendekeza itakubakiza humo na hutasonga.
maushauri mengine hayafai.
2026-09-04 19:05:17
1
fungo jm :
acha kukatishaa watuuu tamaaa mungu ndo mtoajii pekeee
2026-09-03 10:04:22
1
zamdy❤️🥰 :
watu wajenge kulipa Kodi utumwaa nyumb inadumu biasharaa zinakufaga
2026-09-02 19:17:50
1
Agness magwila :
wawooooo ♥️♥️♥️♥️♥️♥️baba kunywa soda
2026-09-01 15:29:03
1
pili :
nimecheka mpaka kinena kimenicheza
2026-09-02 05:39:51
1
salumu madagaa :
kupanga n rahisi kuliko kujenga yani chumba unipa elf 20 nikiwa na milion 20 nakaa mika mingapia jaman c mpaka nakufa kabsa il ukijenga unatumila milio 100 na unakufa unaiacha sijengi mimi niko pamoja na ww
2026-09-01 18:47:51
2
b.boy :
mim nmalize na kusema hera yangu usiipangie cha kufanya nmetafuta mim kwaio nachokifanya mim ukiona nichakijinga pambana na hali yako kila mtu na maisha yake tukiwa wote matajil nan atachimba choo cha mwenzake
2026-09-01 20:18:48
1
Yusuphu Daniel :
Mameno ya kuambiwa changanya nayakwako
2026-09-01 10:50:58
3
miss_Fogo :
kibaya ukiwanacho jaman😂😂
2026-09-01 12:32:24
3
Muhamed seleman Sultan :
ukishajenga kwa kudunduliza ndio utajua azabu ya ujenzi
2026-09-01 19:51:41
2
Mani shadmoss :
Point hii
2026-08-31 22:57:24
3
To see more videos from user @emanuel_walwa, please go to the Tikwm
homepage.