@kizito.mtoto.wa.mjane:

Kizto,tathimini ya haki
Kizto,tathimini ya haki
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 31 August 2026 16:40:52 GMT
25667
695
200
55

Music

Download

Comments

captain_scott099
Captain_Scott :
we unajua alikua anafanya nini? acheni wanyanyasa watumishi bwana
2026-09-01 16:09:49
29
godwin.vedasto
GODWIN VEDASTO :
DOCTOR YUPO SMART SANA..
2026-09-01 16:15:44
10
ibngroup.tz
IBN GROUP :
ingekua mimi ningerudi kulala 😅😅
2026-09-01 14:44:49
20
nadiusy
NA+NE=HA💕💕💕 :
shukuru hata alivyoamka , coz wanachoka sanaaah
2026-09-01 13:42:59
31
wamburamotiba
Maximilian🖋️📚 :
ACHA KUSHUSHA THAMANI YETU YA KITUO CHA AFYA SI VYEMA KURECORD MHUDUMU NA KUMPOST BILA RIDHAA YAKE:
2026-09-01 14:01:36
18
arnulfo.urassa
ARNULFO URASSA🇹🇿🫡 :
He’s very cool
2026-09-01 16:58:47
0
chunaproducts
chunaproducts :
Watumishi tunanyanyasika sana
2026-09-01 18:07:10
2
polndasi
swarty jr :
daaah watu wa afya tunateseka hasa huko tamisemi
2026-09-01 15:24:10
10
mosesdm3
Engineer by Nature :
Kwani hakukua na utaratibu maalum wa kuwasilisha kero zenu? Ifike mahali tutambue mchango wa madaktari wetu, sijapenda hii tabia.
2026-09-01 16:15:14
11
user88100214154935
AFRICAN CHOICE :
santee
2026-09-01 15:07:51
0
i_am_teee
tee :
not fair kbs 💔💔
2026-09-01 17:15:52
0
lightnessshirima4
mrembo wa Yesu :
Wasikupelekeshe kwani Wamekusomesha. someni na nyie mtibu watu ht mngekaaa zaidi ya masaaa. changamoto hapo wapambane waongezewe Madakitari
2026-09-01 18:10:50
1
safinaabdi619
SafinaAbdi :
Acheni kumfokea mnaondoa kwenye mood ya kutibu
2026-09-01 16:19:47
5
dan44014
DAN :
Dokta hongera kwa busara 🙏🏾🙏🏾
2026-09-01 18:04:31
2
user2501017202741
jasack jr :
daaah manes wanashid jamn
2026-09-01 04:10:36
0
mgimwa.mnyalu
mgimwa mnyalu :
docter wawap mbn anajib vibaya
2026-09-01 17:23:01
1
pety.marck
Pety Marck :
vituo vya Afya madaktar wanafanya kaz wanavyotaka wagonjwa wanajazana kweny folen wao sijui wanaendaga wapi
2026-09-01 17:10:20
2
jo.ngoja
Jo Ngoja :
wananchi acha mambo yenu hata kama kodi zenu...
2026-09-01 16:39:18
1
deogratiustz7
DEO 💺👑 :
hivi nyie mnazani hawa sio watu watu wanakesha na majukumu ya hizi health facilities ukute amekesha saa kumi na moja ameenda kujipumzisha unalaumu hovyo hovyo tu, unadhani hata yeye akili ikiwa imechoka anaruhusiwa kufanya kazi? Cha ajabu unaanza kulaumu hujapata hata hiyo huduma maana unaanza kupoteza muda wa kupewa huduma .... hovyo sana hiii duuuuu mnajua yy anachangamoto zipi na kama aziwahusu sawa mtapataje ufanisi wa kazi yake kutoka kwake,
2026-09-01 16:32:10
10
danar2231
ndaina :
mnamfokea doctor kabla hajatoa matibabu sio vizur amefika peweni huduma acheni ugomvi pia mda wakee wakazi itakuwa uliisha akaenda kujipumzisha hiyo ni dharura ombeni serekali iwaongeze wa hudumu ili mda wote mkifika mnahudumiwa Kwa wakati
2026-09-01 15:42:30
5
dorcus.pallangyo
Dorcus Pallangyo :
dah mbona wanamrekodi?
2026-09-01 14:35:47
0
todaypainmail.com
⚡ᏀᎾᏞᎠᎬN ᎻᎬᎪᎡᎢ✨ :
ndio kishakuja mwacheni awape huduma anaza maneno
2026-09-01 17:48:04
0
the.d601
the d :
sijui kwanini sijapenda😅
2026-09-01 17:46:11
1
stephan.satian
Stephan Satian :
tabia siyo nzuri ya kurekodi tena ufute ,acheni chuki umeenda kumwita ujamkuta labda yupo kutafuta mboga , mtu anasema aliye kuja kumuita nani hakumkuta
2026-09-01 14:52:23
2
user7695530373018
aste dry cleaner :
afisa afya uyo jaman anauliza
2026-09-01 13:25:10
0
To see more videos from user @kizito.mtoto.wa.mjane, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About