Usafi tabia kaka ukute huyo dereva usafi si Mambo yake
2026-09-01 07:47:03
5
Sureboy Nassir :
haya umemsimamisha ukamuambia lakini
2026-09-01 14:52:09
1
whiterooney :
kweli raisi hana wasimamizi
2026-09-01 07:27:53
3
Afsheen Rahim :
uchafuaji manispaa haipo siriasi ndio maana hata wananchi suala la usafi imekuwa ngumu
2026-09-01 12:51:56
1
shaabanmasoudhd :
Wallahi
2026-09-01 10:32:09
1
Oriole :
Mie Nashangaa hapa Zanzibar kwanini hawaweki mabati Maalum ya taka
2026-09-01 11:24:36
1
محمد Mo :
taka moja inazolewa mara 7
2026-09-01 04:14:37
1
fatmazubeir7 :
Linachafua ili wapate wasafishe Tena
2026-09-01 09:53:52
0
Muratty :
na Namba halina gari la serikali ilooo
2026-09-01 12:07:31
0
MBUYU :
Hii ndio Tanzania Zanzibar hii ndio alama ya nchi yete
2026-09-01 12:00:27
0
omi11 :
Sheria gari ikibeba taka km haijafunika inatakiwa kupigwa fine km ilivo Kwa gari ya mchanga isiyofunika na nyie Bado hamjaona wenye magari wanaofanya ivo he mh utaganda hahhhaa
2026-09-01 16:16:40
0
mlatino :
gari la taka nalo pia taka😂😂😂
2026-09-01 11:19:21
0
manga :
Hii nchi ni vurugu tuu
2026-09-01 10:40:28
0
Thomas Jefferson :
hii video.ilitakiwa iwafikie wahusika
2026-09-01 08:35:52
0
kano_the_donny.. :
Kaa kimya sawa
2026-09-01 09:36:39
0
shaabanmasoudhd :
Kila kitu afanye Rais
2026-09-01 10:32:27
0
عبد الله بن مولد. 🇦🇪🇹🇿 :
Ila Zanzibar Kuna Camera nyingi Barabarani
ila kwely Watu wabalikee tena
2026-09-01 11:19:13
0
user1194377833734 :
jana nikikutana nayo hio gari. kufika tunguu taka nyingi sana zimedindika
2026-09-01 08:49:11
3
saidmwamba45 :
Izo camera ziko wapi zinazopiga picha na kupiga faini?