@seth.jacob88: Kuna AMRI NYINGI tumepewa na wakongwe wa kilimo cha NYANYA… 🍅 Chagua MBEGU BORA. 🍅 Lima kwa NAFASI SAHIHI. 🍅 Pambana na MAGUGU. 🍅 Weka MBOLEA KWA WAKATI. 🍅 Dhibiti WADUDU NA MAGONJWA. Lakini katika hizo zote, kuna AMRI ILIYO KUU. Amri kuu nawapa, nayo ni hii: YAPENDE MAZAO YAKO. ❤️🌱 Yatembelee. Yachunguze. Yahudumie. Jua yanahitaji nini na kwa wakati gani. WORK FOR IT. DAY IN, DAY OUT. Kwa sababu mavuno makubwa hayaji kwa bahati. Yanajengwa SIKU BAADA YA SIKU. Good morning my good people. #LimaSmart #ShambaSmart #KilimoChaNyanya #KilimoBiashara #MkulimaSmart