Sasa serikali inamuangalia huyo mtu inamuacha kwanini asikamatwe huyu Sasa afikishwe mahakamani asaidie upelelezi ataje na wenzie wafikishwe mbele ya sheria wawajibishwe
2026-09-15 22:07:16
3
electricity engineer :
pesa mda mwingne ni mbaya sana
2026-09-01 19:53:56
17
natunae :
Kamata huyu ndo mtuhumiwa namba moja.
2026-09-01 18:55:26
8
𝔸𝕣𝕠𝕪𝕔𝕖👊 :
duuh chadema Mtalipia kwa haya yote
2026-09-01 18:18:59
14
Aztec Tesha :
Kwanini hajakamatwa huyu kama mshtakiwa Namba moja,,,halafu alikuwepo yeye mikoa mingapi?
2026-09-01 15:49:26
10
MBUYU :
WARIOBA umemsikia kijana maelezo tafuta sehemu aliyo kosea kusema ni wapi
2026-09-02 06:02:37
6
𝐎𝐑𝐋𝐄𝐍 :
sawa 😂😂ukweli tutaujua tu
2026-09-16 15:13:29
1
user9844070041054 :
PELEKA POLISI SASA KAKA
2026-09-16 20:25:38
2
nigerian boy :
hawataki2 lkn huo ndio ukweli pekeee
2026-09-02 03:53:21
3
bliss :
Kijana amejitoa na amesema kweli ilikuwa mitihani hii Daah serkali imepata ukweli wazidi kuimarisha jeshi latu liwe la kisasa zaidi kwa vifaa bora
2026-09-16 07:22:44
4
MCHOPANGA :
Sasa kama mtu anajitangaza waziwazi na Serikali haichukui hatua yoyote dhidi yake, sisi wananchi tuelewe nini? Tunahitaji kujua ukweli na kuelewa Serikali iko upande gani katika jambo hili.
2026-09-06 20:48:00
2
Hamisi Ally :
kwanini serekali haikukamati
2026-09-02 11:24:58
3
issabinus :
ubarikiwe sana mdogo wangu, unatakiwa ukatusaidie Mahakamani maana Mali za watu mlizipora na kuhatarisha usalama wa Nchi yetu, ubarikiwe sana Kwa kujitokeza hadharani🙏
2026-09-05 18:07:13
7
Hoseni Likaya :
mtumiwa namba mojahuyu
2026-09-03 17:46:29
0
allykibona :
Kuna MTU umekaa unaskiriza inajua huyu ni chadema cyo
2026-09-13 19:52:47
2
hizalazima :
sinema zetu
2026-09-07 14:25:00
3
Hassan Jumbe Abdulrahman :
huyu shahidi ktk kesi ya lissu
2026-09-13 08:01:18
1
Joseph Gabriel :
huyu ni CCM
2026-09-06 04:27:38
1
Hendry Mremi :
mtuhumiwa Namba moja huyu
2026-09-03 11:08:15
1
omarykibunta75gmail.com6 :
kama Tanzania ingekuwa inania ya viongozi kutaka radhi za mola wao Kwa kuongoza watu Kwa uwadilifu kabisa huyuuu ndio mtu muhimu sana ambae alitakiwa kuwa ndani .
2026-09-04 05:45:55
3
the shirani black man :
sio chadema huyu
2026-09-05 08:06:46
1
Benjamin Kiondo :
wewe ulikuwa na nani mliokubaliana naye??
2026-09-07 17:28:29
1
manager32 :
ulikuwa na nani ww!??
2026-09-04 05:08:54
2
Galaxy play station :
sema ulienda sio tulienda🔥🔥🔥🤣
2026-09-11 18:20:33
1
አልሀምዱሊላህ አለኩልሀል 💚💛❤️ :
kwaiyo kuvaa iyonguo ya chadema ndomuendelezo wakuwapakazia sio
2026-09-02 04:30:13
1
To see more videos from user @chief_maalim_mpiri1, please go to the Tikwm
homepage.