@reyvivoofficial: 🤣🤣🤣 NIMEANZA KUELEWA BIBLIA SASA🤣🤣

Reyvivo🥰
Reyvivo🥰
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 01 September 2026 07:40:29 GMT
38771
2719
64
168

Music

Download

Comments

user9598683116594
happy :
🤣🤣🤣🤣kabida
2026-09-01 12:44:02
0
nelsonindriano
Indriano Kagema :
very true🤣
2026-09-01 10:30:40
0
aronanthony302
Dr muhogo :
asa io sound ya kucheka ina maana gani
2026-09-01 10:32:52
11
john.fariji
China Chen :
wengi wata piga mawe ya maneno ila huu ni ukweli usio pingika, Mungu ali sema katika Mwanzo 25:23 (MUKUBWA ATAMUTUMIKIA MUDOGO) hadi leo mudogo ndiye tuna imba kila siku (Mungu wa Yakobo) hata kama tulifundishwa kuwa masikini ata mwona Mungu, lakini Ukweli umasikini sio hali nzuri tukubali ao tukataye iyo ndio kweli.
2026-09-01 13:19:25
1
daniel.eliud.mwak
Daniel Eliud Mwakibibi :
Biblia hiyohiyo inamkataa tajiri kuuona ufalme wa Mungu
2026-09-01 11:57:36
1
justasmussa
justasmussa :
bibilia inabidi kuisoma uwenayo makini sana maana unaweza ukapotoka wakati inakueleza mengine
2026-09-01 09:24:30
2
eveless.adam
Adam :
hizo n methali mchungaji kashapotosha waumini😂
2026-09-01 11:07:31
4
mariasteady
Maria💜 :
Uyu Pastor Anaitwa Nani🥱😂
2026-09-01 09:55:50
3
user3300615732020
user3300615732020 :
Kusoma vipande vipande kumepotosha wengi
2026-09-01 10:26:22
1
chex_255
Chex :
sasa unaweka kicheko cha nn wakt kinachohubiriwa ni serious
2026-09-01 10:30:29
2
user4542176678154
Apostle Brother G :
Kitabu cha mithali nani kaandika alafu tafuta wapi alifundishwa na baba yake ndipo utajua nini alikuwa ana maanisha nini Daudi +sulemani
2026-09-01 09:30:52
5
saidimabula
Saidi Mabula :
Yote kwa yote, tutafute pesa
2026-09-01 11:00:32
1
kelvinmgala
KELVIN MGALA :
Sasa mtumishi umefundisha kama ilivyoandikwa
2026-09-01 13:59:49
0
satyenyi
satyenyi :
nilijua tu kuna mtu atataka autafsiri huo mstari kuitetea biblia
2026-09-01 12:52:31
0
selfwinnie
MUNGU NI PENDO :
sawa bakressa
2026-09-01 13:10:56
0
mstahimilivu.molle
mstahimilivu mollel :
jamani someni jamani someni someni jamani, Na mm naishiaga hapo tu sasa kwa huyu mwanangu nikimwambia hivo ananiambia mbona Sisi masikini 🤣🤣🤣
2026-09-01 10:18:45
1
marota374
Eddy :
huyu jamaa ni mealimu mzuri sana
2026-09-01 12:49:02
0
jlothebest1
jlothebest1 :
sound ya kucheka inaondoa maana ya ujumbe na kupunguza mvuto wa kusikiliza, me nimeishia njian maana kelele za kucheka ni nyingi hadi zinaumiza masikio no hakuna sababu ya kuwepo na kicheko
2026-09-01 13:18:02
0
hairbylumy2
Hairbylumy :
Amen 🙏
2026-09-01 12:05:02
0
elizabeth986134
M Austin :
hallelujah sijaelewa maana ya hi kicheko maali apo
2026-09-01 11:40:54
0
meshack__1
Meshack :
Sound ya kicheko sijaielew
2026-09-01 12:20:57
0
edo.kalinga
edo kalinga :
bibilia ipi sasa... kwamtoto gani??
2026-09-01 12:22:47
0
joseph.kasena.kah
Joseph Kasena Kahindi :
Hapo sasa aaaaah. .....😎😎😎😎
2026-09-01 12:16:03
0
user6124981356547
[email protected] :
iyo siyo injili ya kwelii jaman
2026-09-01 11:56:52
1
robeni.sumuni
MR UNSTOPPABLE FX :
safi sana
2026-09-01 08:48:41
0
To see more videos from user @reyvivoofficial, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About