uko sahihi nilikua naota kila kitu mwisho wasiku akasema kua anioe ili niwe namuangalia maana yeye haoni nikakataa toka nilivyo kataa asaivi sioni tena kwenye ndoto nafanyaje virudi
2026-09-02 13:34:39
0
Prisca🦋🦋 :
mi nahc nyota angu wanaitumia kabx maan mambo yang hayaend kabx
2026-09-02 15:03:28
0
Suleiman ali :
umesema ukweri kaka hongerra
2026-09-01 19:08:55
1
shalom💞❤️ :
mi niliambiwa sitazaa yaan siwez beba mimba na hapo nina mimba niliamka nikachukua ela yangu niliyoweka kweny liungo lake kwaajiri ya ramli nikaondok
2026-09-02 06:16:21
1
malkia wa bongo Africa 🌍 :
walahi ni kweli Allah atunusuru Amiin 🤲🤲🤲🤲
2026-09-02 03:34:07
0
zulfa :
ukowp
2026-09-02 05:14:24
0
KAKAMJOMBA :
dah kweli kaka pwenti sana mganga awezi kukuhacha na nyota kari