@nijuzenews: Bilionea wa Marekani anaweza kuuza kisiwa cha Lupita kilichopo Tanzania? Ukweli utakaokushtua Subscribe kwenye YouTube Channel yetu kwa habari motomoto>>> https://www.youtube.com/@NijuzeNews Subscribe kwenye WhatsApp Channel yetu>>>‎ https://whatsapp.com/channel/0029Vb6s4M91NCrctJX2YG2u

Nijuze
Nijuze
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 01 September 2026 08:40:19 GMT
15568
539
32
32

Music

Download

Comments

mkaka355
Mkaka :
ni nyakati hizi za serikali hii tu. Magufuli asingekubali huu upuuzi.
2026-09-01 09:59:08
8
jumahamis099
jumahamis099 :
yeye sio kichaa kusema anauza mikataba mingi ni sir
2026-09-01 09:28:38
6
elvinci4
El-Vinci :
kuna maeneo mengi tu yameuzwa, ile mikataba inayosemaga "SIRI" ndo hii.
2026-09-01 09:15:13
5
sikamonaomary
Dr.Sikamona :
daaah !! kwan SERIKALI INASEMAJE!!
2026-09-01 09:27:06
2
lupapape
lupapape :
ngoja niwa follow mnakitu mtafika mbali
2026-09-01 10:04:39
2
miraji1585
DIGGO, ❤️ :
kwa nchi hii, Hilo sio lakushangaza,😒😒😒😒😒😒
2026-09-01 10:54:05
0
david.timotheo8
David Timotheo :
😂TZ
2026-09-01 10:43:46
0
jumanne.ally959gm
Jumanne [email protected] :
🤣🤣 inawezekana sisi tukawa wapangaji
2026-09-01 10:38:21
0
tall6204005023880
TALL :
nabado adi Tanganyika kwakau
2026-09-01 10:41:06
0
user6173390175677
PRINCE🤴 Freddy simba :
Akina bakhresa na Mo dewji wanasemaje
2026-09-01 10:39:24
0
dabodeffmangandi2
Dabodeff Mangandira :
Auze nchi yake sisi wenyewe atupo au
2026-09-01 10:52:08
0
johnsambai905
baba mkwe :
MBONA HATA MLIMA KILIMANJARO UNAUZWA .
2026-09-01 09:58:47
0
user4663607361106
vanance :
nashindwa kuwaelewa
2026-09-01 10:06:17
0
mshashi35.com0
Miyamoto Mshashi. :
huu uhuni kabisaa tumeshindwa kuwapa hata akina Bakhresa?
2026-09-01 10:30:03
0
brothermozez
Black :
Wameshauza
2026-09-01 10:25:39
0
seif.hamad3
Seif Hamad :
ndio anauza ni vizuri kwani inategemea na lease alio nayo
2026-09-01 10:46:10
0
user1743068652710
mango :
mimi nashauri jaman ile mikataba ya siri isiwepo tena jaman khaaaaaa
2026-09-01 09:56:45
0
prince.sade3
Prince Sade :
Nashauri viongozi wanaosimamia hili suala wajiulize wenyewe kwanza unaweza kuta Mmojawao amempa hati na akapata hela yake ndiyo maaana Bilionea ana ujasiri wa kutangaza kuuza mali yetu Watanzania.
2026-09-01 09:32:07
0
mwasitihussen542
Mwasiti Hussen :
Auzeee tu simwekezaji ana haki kuliko wananchi
2026-09-01 11:03:56
0
habibhassan502
HABIB HASSAN :
KIKO ZIWA TANGANYIKA UPANDE WA KONGO AU ZAMBIA AU TANZANIA ?
2026-09-01 09:40:12
0
nerds26455455585445
Genghis Khan :
nchi ishauzwa hii
2026-09-01 09:55:56
0
samwelkavishe200
Samwel Kavishe :
Ashaanza kukimbia kaona atakuja kukiacha bila sent
2026-09-01 09:36:58
1
jahangirsmirza
JAHANGIRsMIRZA💥 :
Ukiona haieleweki wazee wameshakula Marekani inakua sababu tu . Usifatilie utapoea . 😂😂😂
2026-09-01 10:48:54
0
cashroadi
mrswaggar :
mshauza saivi mna jitia kimbelembele
2026-09-01 10:24:13
0
masounyombe
masounyombe :
mhusika tutamjua tu sababu atashiriki kwa staili yoyote ile
2026-09-01 09:24:42
0
To see more videos from user @nijuzenews, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About