Uyu ni mimi kabisa, wallah nikishiba nikakaa chini simalizi nusu saa nishasinzia😂
2026-09-02 07:16:47
10
matwiga :
mnajua kuniabisha
2026-09-01 09:40:43
13
mr.Evans :
jamaa ataila hii nchi ndo kwnaza ana miaka 42 hadi afik umri wa akina kikwete miaka 84 .. ana miaka 42
ataila hii nchi hatari
2026-09-01 10:05:22
8
Uesra💕 official💞💞 :
ila bongo inatosha jamn😂😂😂😂
2026-09-01 21:13:55
5
Matty27 :
Kila mtu ataipata cheo kwa mda wake t msiwe na wasiwasi😂😂😂
2026-09-01 18:18:57
20
Kelvin E Msuya Leshn :
🤣🤣🤣🤣🤣binadam banah
2026-09-01 09:41:11
9
Elifrida Mollel :
hii ndo ile kitu tulitarajia kuona
2026-09-02 10:28:00
7
tms :
kwani huyu ni nani jamani,msinichambe mi mgeni tiktok😂
2026-09-02 06:33:25
11
h :
jamn tumapatie nguvu ili atumikie mnchi vizur
2026-09-01 14:31:59
5
Claudio Cruz :
Bwana mdogo uyu mtumishi mzr lkn kwa cheo iki alichopewa xx hv amekubali kupokea lkn anaonekana hajiamini au sio wakati kuchukua nafasi iyo ! Atafanya kz iyo kwa Uoga mnoo Cjui kma watawezana na uyu Samia ... Isitoshe ktk hi serikali viongozi wote sio waaminifu pamoja na rais mwenyewe wote Mafisadi ! Bwana muaminifu kidogo xx itakuwaje kuwakiuka hao mafisadi ndio dogo yuko na wasi wasi na nafasi iyo pia anafaamu ukweli wote uliomuondoa dkt Nchimbi ni ukweli wke kuwatetea wananchi ndio kilichomuondoa kwa. Samia
2026-09-01 09:48:05
19
GRACE FRANK :
Mtu asichoke
2026-09-01 08:45:41
6
Mr INNOCENT :
camera man kuwa wa taifa 🤣
2026-09-01 19:41:41
2
iam_Jen_ official 🍀📌 :
mwambie hajaja kulala tunakikao cha deni la taifa
2026-09-02 17:58:44
1
To see more videos from user @mwenye.nchi, please go to the Tikwm
homepage.