@nuktatanzania: Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi, amehoji hatua zinazochukuliwa na Serikali kuhakikisha taaluma ya udereva inapata hadhi, stahiki na heshima kama zilivyo taaluma nyingine. Swali hilo limejibiwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Qwaray, leo Septemba 1, 2026, Bungeni jijini Dodoma. Aidha, jambo hilo lilimfanya pia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Alexander Mkumbo, kuingilia kati na kusema kuwa sekta ya usafirishaji ni muhimu katika uchumi wa taifa, huku madereva wakiwa ndio wanaoiendesha sekta hiyo. Alisema madereva ni watu muhimu katika sekta hiyo, hivyo Serikali itaweka mkazo katika kuhakikisha wanaendelea kuheshimiwa nchini.

NuktaTanzania
NuktaTanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 01 September 2026 09:04:21 GMT
34366
2143
85
165

Music

Download

Comments

mpare999
amir mariale :
inauma mno mikataba hakuna mafuta hayatoshi ukija barabaran fain ni nyingi
2026-09-02 12:16:02
2
stanleysilvanus69
Stanley Silvanus :
wahongo selikari haina mpango wowote na madereva hasa wale madereva wa makampuni binafsi wanapewa mikataba feki hakuna likizo mishahara hawapat wanaish kwa posho tu yan gari likipak hapati malipo yeyote
2026-09-01 19:16:14
3
godfreytowo6
GodfreyTowo :
pia upatikanaji wa leseni umekua shida sana
2026-09-02 07:53:15
0
pharyhwaph
pharyhwaph :
madereva wa mashule wananyanyasika
2026-09-02 07:04:35
1
samchalamila
HEHE BOE 💵 driver 🛣️🚛 :
huo ni uongo mtupu
2026-09-02 20:56:53
0
omariramso
omar khan :
huwa yanaishiaga huko huko
2026-09-02 19:07:39
0
athumani.madomba
Athumani Madomba :
serikali ipo sawa ila wale wanao simamia ndyo kipengele utendaji sio sawa
2026-09-02 11:03:19
1
pesambili34
Pesambili :
Kiukweli sisi maderva tunakua kama mabaamerd tu selikali haitujali kabisa tunazauliwa na hatupewi malipo yetu yanayostahili, kiukweli serikali tunaomba mliingilie kati hiliswala
2026-09-02 09:38:35
0
magulunnyundo
Magulu Nnyondo :
zungumzieni pia wawe na bima ..
2026-09-02 21:10:54
0
mboga.70
SEVEN DASH🇹🇿✊🏿 :
yangu macho
2026-09-02 04:52:55
1
luganoyanga.sport
lugano,yanga sport :
katika kitu hatuwamiini ni nyie jamaa
2026-09-03 00:29:51
0
user7996513339516
msaka shiling :
kama kweli serekali inaona umuhimu wa madeva tonaomba serekali itenge muda wakupitia kila mkoa na kila campan naami itagundua mambo mengi sana
2026-09-01 09:15:29
2
econ_woo07
econwoo :
ni uongo
2026-09-02 14:09:20
0
moses.misalaba
Moses Misalaba :
madereva wanateseka sana shida sana mateso tu Kwa madereva
2026-09-02 17:54:35
0
user7639516659039
Ahmed msambara :
mnawafata matajiri nyie viongoz mnachukua rushwa ili madereva wanyanyasike
2026-09-01 20:49:33
1
hassanhussein4568
Hans 07 :
Hawa watu sijui walichaguliwa na nani
2026-09-01 10:48:21
0
peterkulwa0
peterkulwa982 :
mm nimesikiliza ila sijaelewa alie elewa anieleweshe
2026-09-01 13:44:26
1
magulunnyundo
Magulu Nnyondo :
tengenezeni barabara ziwe nzuri ajari nyingi ..mafoleni mlandizi mpaka morogoro
2026-09-02 21:09:36
0
ngella27
Ngella :
hizi siasa zenu kwenye senta ya uderva ipo sk itafka mwisho na tutapewa heshim yetu na mchango wetu mkubwa tulio utoa ktk nchi yetu ya tanganyika lkn sio kwa utawala wa ccm ndio kwanza mumefnya maisha yetu yawe mangumu zaid kuliko hata huko tuliko toka
2026-09-02 12:13:02
0
user6093786125559
user6093786125559 :
mnatudanganya
2026-09-02 13:05:19
0
dominicemmanuel288
Dominic Emmanuel :
hata selekali inatubana
2026-09-02 12:57:47
0
thabitkassimu
kassim thabit :
Asante mheshimiwa mungu akujalie kwa kutusemea kwakweli ni shidaa
2026-09-03 09:26:24
0
baba.j963
Baba J D :
hakuna dereva daladala mwenye mkataba kama kweli mko siliasi ingenious barabarani simamisheni kila daladala mwambie dereva akupe mkataba
2026-09-02 14:48:12
0
shaibungoda
Sheby lv :
tumekubari kusoma sasa nanyie mtuzingatie
2026-09-02 15:49:22
0
abubakarseleman24
mawigi :
rashidi alikuwa meneja wangu uyuu kwenye lor pambana bbu
2026-09-01 12:22:38
0
To see more videos from user @nuktatanzania, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About