@khalifa.said4: kama kungekuwa na nia ya dhati ya kufanya maridhiano nchini, na siyo hadaa za kisiasa na kupoteza muda, ushiriki kwenye mchakato huo ungekuwa mpana, ukihusisha wadau wengi zaidi mbali na vyama vya siasa. hofu na wasiwasi wangu ni kwamba ccm hawawezi kukubali hilo litokee kwani, kama wasemavyo waswahili, wameshazoea vya kuchinja, kamwe vya kunyonga hawaviwezi: 🎥: @nijuzenews, @Kirati07

khalifa said
khalifa said
Open In TikTok:
Region: BE
Tuesday 01 September 2026 09:27:14 GMT
23676
1646
77
32

Music

Download

Comments

alsykesone
Ali sykes :
Maridhiano ya nini? kwani tumepigana? hakuna kuridhiana tuna ridhiana nini?
2026-09-01 11:26:39
13
waadamnahawa
WA ADAM NA HAWWA(EVA) :
KAIMBE TAARAB
2026-09-01 22:33:20
0
noel38896
lyandala noah :
kweli yako mwandishi safi sana
2026-09-01 19:44:39
12
amb11360
Amb :
maridhiano ya nn na nani kaka watu walisusia uchguzi
2026-09-05 05:07:59
0
fraisha.og
Mimah Og :
big up Khalifa 💯
2026-09-01 19:19:17
2
eddahmwafongo
eddahmwafongo :
kama wandishi wote wangekua kama ww tungepona watanzania
2026-09-02 14:02:35
9
lusajo.mgogo
lusajo mgogo :
Kaka simama usirudi nyuma nakuelewa Sana
2026-09-02 06:52:13
2
mjuni03
mjuni03 :
Ushauri mzuri
2026-09-01 14:49:53
6
user434584871484690
user434584871484690 :
Bado watanzania hawatambui mchango wako wa Kifikra, ebwana bro Una maarifa makubwa sana
2026-09-01 15:43:54
6
tizzokapungu
Tizzo Kapungu :
kk hayo makundi mengi yanamilikiwa na ccm yakoja hapo kwenye mkutano asilimia nyingi yatahunga mkono mambo Yale yale
2026-09-04 05:11:54
0
h743925
አልሀምዱሊላህ አለኩልሀል 💚💛❤️ :
kabisa
2026-09-01 09:41:02
2
dulla.saidi04
Dulla Saidi :
kwer kabsa mkuu
2026-09-01 10:42:01
1
mlandamulejr
mlandamulejr255 🇹🇿 🇹🇿 :
Nakubar sana mkuu mungu akulinde
2026-09-01 09:31:39
3
nerds26455455585445
Genghis Khan :
serikali inafanya maridhiano na nani? kwani wananchi wa Tanzania na serikali ya Tanzania ni vitu tofauti?
2026-09-01 18:30:25
1
theson694
the@sun :
sijawai kukupinga kaka!! wewe ndo mwandishi wa habar bora kwa sasa tanzania!!
2026-09-01 13:03:10
1
enock.makoga
Enock Makoga :
ukweli mchungu ambao hausemwi lakini upo wazi kabisa ccm ni waongo sana na matapeli wakubwa sana watanzania tuwe makini sana wapo kwa ajili ya maslahi yao tu na familia zao sio wananchi wazalendo
2026-09-01 13:40:12
4
lenardnaman380
Lenard Naman :
fact
2026-09-01 10:51:39
1
carlpeters49
jr :
kweli
2026-09-01 18:43:52
2
mussahrimoy
Mussah Rimoy :
sahh kabisa
2026-09-01 09:44:13
2
edsonsichale
edsonsichale :
truth
2026-09-05 16:10:44
0
ommychamosi68
Ommy Chamosi :
Umebakia wewe na odemba KAKA MUNGU AWAPE AFYA NJEMAAA
2026-09-08 19:17:00
0
dignadaud
Muungano :
hivi kaka umeona au Bado plz niambie ukweli
2026-09-06 08:15:49
0
cool.silver.ze.su
COOL SILVER ZE SUPER LOC'S :
HIYO NI SAWA NA KUITOA CCM MADARAKANI
2026-09-09 03:46:37
0
ngotwike37
Ngotwike :
una sema ukweli ila ukumbuke ukiwa unasema ukweli unapotezwa ilo nakupa tu angalizo ndugu yangu
2026-09-05 19:30:56
0
kgbrothers01
KGbrothers :
Nchi ni ya wananchi na sio ccm na chadema, lazma tuamue ss nchi yetu iende vp
2026-09-01 10:53:25
1
To see more videos from user @khalifa.said4, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About