@chawamata_tv: VIDEO: Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), Bw. Mohamed Salum, amesema matumizi ya reli pekee hayawezi kwa sasa kumaliza changamoto ya usafirishaji wa makontena kutoka Bandari ya Dar es Salaam kutokana na uwezo mdogo wa reli kubeba mizigo. Akizungumza kuhusu mpango wa kutumia reli kusafirisha makontena kwenda Kwala, Salum amesema treni moja kwa sasa ina uwezo wa kubeba takribani makontena 27 kwa safari moja, hali ambayo haiwezi kukidhi mahitaji makubwa ya bandari yenye kiwango kikubwa cha mizigo. Amesema hata kama treni ingeweza kufanya safari nyingi kwa siku, bado kungekuwa na pengo kubwa kati ya uwezo wa reli na kiwango cha makontena yanayoingia na kutoka bandarini, hivyo matumizi ya malori hayawezi kuondolewa kwa sasa. “Kwa uzoefu wangu, sijawahi kutembea bandari duniani ambayo haina malori. Kama kuna mtu ataje bandari moja inayofanya huduma za makontena bila malori,” amesema Salum. Amesema malori ni sehemu muhimu ya mfumo wa usafirishaji wa mizigo kwa sababu yanarahisisha uhamishaji wa makontena kutoka eneo moja kwenda jingine, hususan pale ambapo uwezo wa reli bado haujakidhi mahitaji. Salum amesema wakati Serikali ikiendelea kuboresha reli ya SGR, bado kuna umuhimu wa kutumia njia zote mbili za usafirishaji, yaani reli na barabara, ili kuhakikisha shughuli za bandari zinaendelea bila kusababisha msongamano wa mizigo. Ameeleza kuwa bandari inapopokea makontena kutoka kwenye meli, wakati huohuo kuna makontena ya kusafirisha nje ya nchi yanayopaswa kuingizwa bandarini, pamoja na makontena matupu yanayohitaji kuingia na kutoka. “Shughuli ya bandari siku zote inategemea logistics kubwa ya reli na barabara,” amesema Salum. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #bongoupdates#mediatanzania #tanzaniatrendingvideos #tanzaniatrending #tanzaniatrendingstory #TanzaniaTre #madeintanzania🇹🇿 #madeintanzan #madeintanzania #SupportLocal #madeintanzaniat #roadto100followersontwitch #madeintanzaniawith #viraltz

CHAWAMATA TV
CHAWAMATA TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 01 September 2026 09:43:12 GMT
38672
1201
88
66

Music

Download

Comments

jmarick5
jmarick5 :
ukiweka ugumu moyoni hata kuchwa kinakuwa kigumu
2026-09-01 10:47:43
20
toyisadyoya
Babu T :
huyu jamaa kaongea fact sana
2026-09-01 10:41:26
4
mtaalam_tech
mtaalam :
kwanin hayo malori yasipeleke kwala?
2026-09-01 14:11:48
2
hassanoormapene
mapene :
chawamata zambia 🇿🇲 trafik wanasumbua sana yani isoka na chinsali na mbala wameshaanza mnatusaidiaje
2026-09-01 12:17:36
2
dantown30
user7782346947487 :
Daah kuna maswali mengi sana hapo kwenye maelezo yke ambayo hawez kuyajibu wakati Unafanya upanuzi wa bandari lazima iendane na upanuzi wa miundo mbinu mingine ukiongeza uwezo wa bandari ukaacha vitu vingine Vya msingi lazima ufeli tuu
2026-09-01 11:31:20
10
kesatz1
kesatz :
Awa ndo wanaokula mema ya nchi .. ndo waajiriwa wenyewe
2026-09-02 10:15:54
2
darhomecar_1
dar.car.service :
Wana park hadi kwenye njia za dharura, mageti ya nyumba za watu, issue ni kufuata utaratibu na sio kuzuia njia zote mbona tangu RC ameelekeza barabara hazina foleni ya kupitiliza kama awali, pia yafanyiwe service yasifie barabarani na kuwe na uondoaji wa haraka linapokuwa limeharibika
2026-09-01 12:55:59
2
mnyanda57
mnyanda :
treni inabeba kontena 27 kwanini musinunue mabehewa yakobebea izo kontena,
2026-09-01 14:08:02
2
respich_
LIFE IS ART :
mtazamo wangu hapa kuna mkwamo mkubwa wa kifra na maamuzi mazito. yani sgr imejengwa treni zimemunuliwa. imeshindikanaje kununua treni na mabehewa hata 1000. ruti 2-3 kwasiku. huku ni kuendekeza shida.
2026-09-01 12:18:36
7
user8867292932830
simple but heavy :
tatizo maeneo mengi wataalamu kama hawa wanapuuzwa siasa inachukuwa nafasi
2026-09-02 12:48:37
0
barageti_10
Barageti_10🇹🇿 :
huyu jamaa ukimsikiliza ukiwa umelegeza fuvu utamwelewa.. kwel meli ikiwa inashusha huwa inapakia na meli inaenda na muda. itafika kipind tukubal makaz kupisha bandar tuu tuje kuishi kibaha
2026-09-01 11:47:12
2
swalehebori0
swalehebori495 :
toa ICD zote mjini
2026-09-01 17:39:44
1
denisdamian935
Denisdamian :
hii serikali yani unapanua bandari unafanya ukarabati wa bandari lakini hayo malori ya kupakia na kushisha mnashindwa kuyatenhenezea miundombinu, yani mnashindwa kutanua Barabara mnategemea nini?? Lori na magari yakwaida yanakaa Barabara moja Tena yamebeba Tani za kutosha hii ni hatari 😢
2026-09-01 17:30:24
2
moudykisengo
moudykisengo :
sawa ,,,kwann mnatoa vibali vya icd adi mitaan bila kuangalia maisha ya watu ,,kwan msiwaambie watu wakajenge icd pembezon mwa mji wa dar
2026-09-01 11:22:34
1
idrissamohamed16
idrissamohamed16 :
Njooni Mtupe Hela Njema Tugawane Urithi Mkubwa 🤣🤣🤣
2026-09-10 04:40:37
0
chao27048
Chao :
kwaiyo kwala imejengwa kimakosa?
2026-09-04 04:48:50
0
user9057020538816
user9057020538816 :
wanao elewa Maswala ya bandari mana yake nini ndo hao , sio wengine wanabwabwaja tu .
2026-09-01 10:15:56
3
duddywily
duddywily :
kwahyo unamsema chalamila au?
2026-09-01 12:19:12
0
nizarkhan8502
Nizar Khan850 :
So kuweka icd mjini na sehemu wa makazi Sawa. Kwanini msipeleke nje ya mji. Iyo sio solution.
2026-09-17 19:41:52
0
user7887975743502
osman :
hujaongeakitu kabisa
2026-09-03 18:50:07
0
brazilerop
Brazilero :
hawa ndio watanzania
2026-09-05 16:37:42
0
mikidad.mussa
mikidad mussa :
sisa na kazi havichangaman
2026-09-04 04:22:30
0
solar_iq_tz
solar_iq_tz :
PUNGUZENI KODI HILI WATU WAPATE MIZIGO YAO KWA ULAHISII MIZIGO INAKA SANA KWASBABU WENGI WANASHINDWA KUTOWA KWA WAKATI KWASABABU MALINDIKO YA KODI NA MADENI.HILA KODI ZIKISHUKA WATU WANAWEZA KUTOWA MIZIGO KWA HALAKA KWASABABU GHALAMA INAKUWA NDOGO NA ANAWEZA FATILIA KWA WEPESI KWASBABU HATUMII GHALAMA KUBWAAA
2026-09-03 20:22:34
0
deniceburchard
Denice Burchard :
Kwann msijenge barabara maalumu kwa ajili ya malori
2026-09-10 12:31:01
0
theki843
Theki84 :
Kwa kifupi tulikosea itabidi ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uwe wa kasi hapa Dar es salaam tulishakosea anachoeleza hapo dah
2026-09-01 12:23:53
0
To see more videos from user @chawamata_tv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

يعد برج المملكة واحدًا من أبرز المعالم المعمارية في الرياض، ورمزا حديثا يعكس تطور المملكة العربية السعودية ونهضتها العمرانية. منذ افتتاحه، أصبح البرج وجهة رئيسية للسكان والزوار، ليس فقط لارتفاعه المميز، بل أيضًا لما يقدمه من مرافق متنوعة وتجربة فريدة. تم افتتاح برج المملكة عام 2002، وهو مشروع تابع لشركة شركة المملكة القابضة التي يملكها الأمير الوليد بن طلال. يبلغ ارتفاع البرج حوالي 302 متر، ويتكون من 99 طابقا، ما جعله لفترة طويلة أحد أطول المباني في قدد الشرق الأوسط، تضميمه الفريد الذي يشتبه فتحة القوسة فلي عط أعلاه يميزه عن بقية ناطحات السلحاب، وقد صمم ليكون تحفة معمارية تجمع بين الحداثة والهوية المحلية. يضم البرج مجموعة واسعة من المرافق، منها مكاتب إدارية، وشقق سكنية فاخرة بالإضافة إلى فندق فورسيزونز الرياض الذي يعد من أفخم الفنادق في المدينة. كما يحتوي على مركز تسوق ضخم يعرف باسم مملكة مول، ويضم العديد من العلامات التجارية العالمية والمطاعم الراقية من أبرز معالم....يعد برج المملكة واحدًا من أبرز المعالم المعمارية في الرياض، ورمزا حديثا يعكس تطور المملكة العربية السعودية ونهضتها العمرانية. منذ افتتاحه، أصبح البرج وجهة رئيسية للسكان والزوار، ليس فقط لارتفاعه المميز، بل أيضًا لما يقدمه من مرافق متنوعة وتجربة فريدة. تم افتتاح برج المملكة عام 2002، وهو مشروع تابع لشركة شركة المملكة القابضة التي يملكها الأمير الوليد بن طلال. يبلغ ارتفاع البرج حوالي 302 متر، ويتكون من 99 طابقا، ما جعله لفترة طويلة أحد أطول المباني في قدد الشرق الأوسط، تضميمه الفريد الذي يشتبه فتحة القوسة فلي عط أعلاه يميزه عن بقية ناطحات السلحاب، وقد صمم ليكون تحفة معمارية تجمع بين الحداثة والهوية المحلية. يضم البرج مجموعة واسعة من المرافق، منها مكاتب إدارية، وشقق سكنية فاخرة بالإضافة إلى فندق فورسيزونز الرياض الذي يعد من أفخم الفنادق في المدينة. كما يحتوي على مركز تسوق ضخم يعرف باسم مملكة مول، ويضم العديد من العلامات التجارية العالمية والمطاعم الراقية من أبرز معالم....
يعد برج المملكة واحدًا من أبرز المعالم المعمارية في الرياض، ورمزا حديثا يعكس تطور المملكة العربية السعودية ونهضتها العمرانية. منذ افتتاحه، أصبح البرج وجهة رئيسية للسكان والزوار، ليس فقط لارتفاعه المميز، بل أيضًا لما يقدمه من مرافق متنوعة وتجربة فريدة. تم افتتاح برج المملكة عام 2002، وهو مشروع تابع لشركة شركة المملكة القابضة التي يملكها الأمير الوليد بن طلال. يبلغ ارتفاع البرج حوالي 302 متر، ويتكون من 99 طابقا، ما جعله لفترة طويلة أحد أطول المباني في قدد الشرق الأوسط، تضميمه الفريد الذي يشتبه فتحة القوسة فلي عط أعلاه يميزه عن بقية ناطحات السلحاب، وقد صمم ليكون تحفة معمارية تجمع بين الحداثة والهوية المحلية. يضم البرج مجموعة واسعة من المرافق، منها مكاتب إدارية، وشقق سكنية فاخرة بالإضافة إلى فندق فورسيزونز الرياض الذي يعد من أفخم الفنادق في المدينة. كما يحتوي على مركز تسوق ضخم يعرف باسم مملكة مول، ويضم العديد من العلامات التجارية العالمية والمطاعم الراقية من أبرز معالم....يعد برج المملكة واحدًا من أبرز المعالم المعمارية في الرياض، ورمزا حديثا يعكس تطور المملكة العربية السعودية ونهضتها العمرانية. منذ افتتاحه، أصبح البرج وجهة رئيسية للسكان والزوار، ليس فقط لارتفاعه المميز، بل أيضًا لما يقدمه من مرافق متنوعة وتجربة فريدة. تم افتتاح برج المملكة عام 2002، وهو مشروع تابع لشركة شركة المملكة القابضة التي يملكها الأمير الوليد بن طلال. يبلغ ارتفاع البرج حوالي 302 متر، ويتكون من 99 طابقا، ما جعله لفترة طويلة أحد أطول المباني في قدد الشرق الأوسط، تضميمه الفريد الذي يشتبه فتحة القوسة فلي عط أعلاه يميزه عن بقية ناطحات السلحاب، وقد صمم ليكون تحفة معمارية تجمع بين الحداثة والهوية المحلية. يضم البرج مجموعة واسعة من المرافق، منها مكاتب إدارية، وشقق سكنية فاخرة بالإضافة إلى فندق فورسيزونز الرياض الذي يعد من أفخم الفنادق في المدينة. كما يحتوي على مركز تسوق ضخم يعرف باسم مملكة مول، ويضم العديد من العلامات التجارية العالمية والمطاعم الراقية من أبرز معالم....

About