wakuu habar bike yang ni HD 125, inavuja oili nimepeleka kwa mafundi mara tano ila ttzo Bado oil nikitembea inatoka taratibu,..wameweka gasket, wameziba kias kwamba had wamefungua ila Bado.. naomba msaada kujuw ttzo ni nn
2026-09-01 23:56:21
4
mangii✌ :
hii oil ya kwa mpalange
2026-09-01 13:49:30
5
willy William's :
au chuma ilitiwa oko badala ya oil
2026-09-01 19:39:17
6
dansan3 :
watumiaji wa sino wekeni oil 10w30 au 10w40
2026-09-02 13:19:02
0
daillah@ :
kak ukiweka centet crach ile ya 26000 kna Mazara mana Kuna ogi na hi y 26000
2026-09-02 13:17:10
0
GB-Salema Tech :
kwaiyo usipobadilisha oil ndo inakua ntaa au izo oil mnazouzia wateja ni zile zinakuja na baisikel
2026-09-02 10:52:31
0
H naee minamba :
Naskia sauti ya fundi simba hapo kwa heshima kubwa fundi mkubwa💯
2026-09-02 18:34:11
0
lusungumtewa :
iyo wakuu oil wamechanganya na grisi 🤣🤣🤣
2026-09-03 09:36:39
2
jaruu :
oil za bei kitonga yan imechanganywa na gundi ya miti
2026-09-01 16:30:20
3
Chris Meshack :
3000 iyo
2026-09-01 13:27:56
1
hoosee bike :
😂😂😂chanika sio
2026-09-03 16:52:59
0
Abadi Salum :
@Abadi Salum:inawezekana ni oil yenye tu yakuwekwa kwa engine ya pikpik lakn kitu ambacho wengi tunaokwenda fanya service tunawekewa oil feki na ziko nyingi sasaiv hasa maduka yakawaida ni Bora uende sheli ukanunua oil Yako ukafanye service lakn sio oil za madukan utakutana na kitu kama unachikiona hapo mm mwenye nimekutana na hekaheka kama ziko wakuu
2026-09-02 14:35:02
1
🚦🛣47 :
mbona kama glis☺️☺️☺️☺️
2026-09-03 10:10:51
0
MAMEN DRONE :
ALIKUWA ANAWEKA GRESI AU
2026-09-01 12:10:33
1
😇Japhe#Mchinah :
Wakati mwingine wateja hawataki kuelewa Wanataka tu Bei poa na hapo ndipo tatzo huanzia🙌🙌
2026-09-02 07:41:38
1
Engineer wilyboi :
iyo sio oil iyo n glue
2026-09-03 10:02:23
0
House_of_Bikes🏍️🇹🇿 :
huyu kaweka lube 😂😂😂
2026-09-02 23:56:05
0
🅕🅛🅤🅧🅨 🅚🅘🅓🅓✅ :
mwmby fundi plaise ninayo mimi
2026-09-03 18:47:57
0
Msomali furniture&home decor :
uyo aliweka grisi na patex au😁
2026-09-03 13:35:35
0
𝗧𝗔𝗣𝗧𝗘𝗖𝗛 :
oil za kupima hizo, bei ndogo dukani, matengenezo makubwa garage 😂😂
2026-09-03 18:36:32
0
baro_officcial 092 👑 :
iyo sio swala la kubadilisha oil wa oil kuwa fake hii Kuna kitu wamemuwekea humo aisee
2026-09-03 12:12:37
0
Kibabake :
Alikuwa anatumia oil gani...?
2026-09-01 13:28:02
0
To see more videos from user @bajaj_boxer_moshi_town_, please go to the Tikwm
homepage.