Utaishi kwa muda uliopangiwa, siku unazaliwa na siku ya kuondoka umeshapangiwa. Hata hivyo nani anataka kuishi miaka mingi, bora unaondoka hali ambayo bado unajiweza kuliko kuja kuwa mzigo kwa watoto wako na ndugu zako. Mungu atujaalie Mwisho mwema In sha Allah
2026-09-01 15:58:30
1
salimodha :
Muhammad s.a.w
2026-09-01 17:37:01
0
CHOYO :
S a w
2026-09-01 16:00:04
0
Composure :
SIMBA WA MIMBARI
2026-09-01 16:23:33
2
hussein Sadala :
nakukubali xana shekh wangu
2026-09-01 16:25:18
0
mdabi :
jabal wa bahar huyu
2026-09-01 20:07:26
0
Asiyah and Saad :
🥺🥺🥺
2026-09-01 14:04:40
0
To see more videos from user @khidmatv1, please go to the Tikwm
homepage.