@al.akhi.naasir7:

Al Akhi Naasir
Al Akhi Naasir
Open In TikTok:
Region: KE
Tuesday 01 September 2026 15:27:36 GMT
34684
6189
110
319

Music

Download

Comments

user3063287443925
RUKIA :
shehe maashaaallah
2026-09-02 18:47:54
0
amina.shehiza
Amina Shehiza :
asante
2026-09-02 00:19:14
0
latifaissa519
Tifa :
mwenyezimungu hakuhifadhi sheikh
2026-09-01 15:52:28
6
fetty1131
Fetty 💓 :
jazakuk hairani
2026-09-01 15:55:51
2
shanisultani100
Bint sultan🥰 :
mm naumwa kichwa nikiswal nimesmama najiskia vibaya nguvu Sina presha ipo juu vp kuswali huku nimekaa inaswihi tafadhali nijibu shekh🙏
2026-09-01 17:56:39
3
omariddi961
Abuu nassir (mujahidina) :
shekh uko vizuri maashaallah lakin sasa mbona unapiga picha na picha haram
2026-09-02 11:23:31
0
kissb2233
kiss.beauty collection 🥰 :
waaleykum msalam warahmatullah wabarakatuh
2026-09-01 21:28:25
2
princess.isha71
Miss shaa🫣 :
swala yangu ilikua inamakosa mengi Mwenyezi MUNGU anisamehe🤲
2026-09-01 18:19:38
4
leiladeogratias
Milanzi+255 :
Mimi nataka uniambie saa saba unaswali mara ngapi na saa kumi mara ngapi na saa kumi na mbili mara ngapi
2026-09-02 05:15:16
0
dimaali985
Dima Ali :
shukiran jazakum Allah
2026-09-01 18:04:23
2
_b_o_r_n_a_y_a_h_
_b_o_r_n_a_y_a_h_ :
nna swali, Katika Qiyam baada ya Takbir, pale Imam anapo soma sura ndefu, kwa mfano kama vile tarweh, je mimi kama Maamuma naeza leta uradi kimoyomoyo ima isthighfar au kumswalia Mtume (saw) au uradi wowote ule mwengine, badala ya kunyamaza manake wakti mwingine imam ywaeza vura hio sura ujikute akili umeanza kulose focus 🤦🏽‍♂️
2026-09-02 04:38:52
0
user5262954619517
aysher :
kumbeee shehee. ukiwaa unaswalii. zuhuri. raakaa yaapilii. nilazimaa wakatii waakusomaa atahiyat. nilazimaa unyoo shee kidolee chaa shahada. alafuu nduu usimamee uwendelee naaswallah
2026-09-02 06:09:12
0
shequeen2626
shequeen2626 :
Sheikh naomba kuuliza kwani ni lazima kunyoosha kidole katika tashahud? Na pia mfano kwa sisi wanawake tunaoswali nyumbani je tunatakiwa kuqim swala kabla ya kuswali wenyewe?Na pia ukiwa unaswali mwenyewe je unatakiwa kuwa unasema Allah akbar samiallah limanhida allah akbar kama imamu anavyokuwa anasoma??
2026-09-01 20:39:09
0
marymjamaa
Marym Jamaa :
mashaallah Allah akulipe kher jee mtu ukiwa Kwa hezi waeza soma Quran
2026-09-01 21:30:24
1
asha9220
Ai ha xaid :
Shukurani sana shekhe
2026-09-01 17:37:02
1
zuuh9759
zuuh🦋 :
mwenyezi mung akupe maisha malefu amiin
2026-09-01 21:04:23
2
fatuma.abdala03
Fatuma Abdala :
shukuran shey kwa mafuz mwem allah akufanyie wepes
2026-09-01 20:01:09
1
mariam.mussa94
Mariam Mussa :
shukrani Allah akupe afya njema
2026-09-01 18:15:23
1
aysha.jefa
Aysha Jefa :
waaleykum msalam warahmatullah wsbarakatu
2026-09-01 20:15:03
1
hadij968
hadija :
jazakallah
2026-09-01 17:09:09
1
itsrajynumz
R🅰️JYNUⓂ️Z GRAMⓂ️Y👳 :
mungu akubariki
2026-09-02 19:57:28
0
kisutz0
kisutz0 :
tufunz
2026-09-02 19:08:05
0
bandabakari
bandabakari :
N je nimekumbuka ata skukumbushwa nia yangu ilikuwa kurukuu but sjui nnapatwa n nn unfortunately nkajipata kwa sijda
2026-09-02 18:54:38
0
bandabakari
bandabakari :
Angalia Leo lkwa naswali nkapta mtihni lkwa nshasoma fatha nkasoma surah asr so wakti lkwa nasongea mbele mna lkwa Kuna watu nawaswalisha kusema takbira y kurukuu badala n rukuu n kaenda direct kusujudu then nakumbuka me mwenyewe kuwa nlifaa kurukuu so nkarudi juu n nkaruu n nkaitdal Yani ful rakaa alfu mwisho nkafanya sijda tu sahwi ma hukmu yake n gani
2026-09-02 18:53:47
0
mahirykhan
mahirykhan :
xhukullan
2026-09-02 19:15:45
0
To see more videos from user @al.akhi.naasir7, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About