@huhesofmradio: USIMSAJILIE MTU LAINI KWA NIDA YAKO Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali ametoa wito kwa wananchi kujiepusha na kuwasajilia laini za za simu watu wengine kwa kutumia vitambulisho vyao vya taifa(NIDA) akionya kuwa anayesajiliwa akifanya uhalifu au utapeli atakamatwa aliyesajili. Msigwa ametoa kauli hiyo leo Septemba 1, 2026 akizungumza na waandishi wa habari jijini Dae es Salaam huku akisema serikali ipo makini juu ya wanaofanyawizi na utapeli mtandaoni. "Usikubali kutoa kitambulisho chako cha NIDA ukampatia mtu akasajili namba ya simu kwa ajili ya kuitumia kwa sababu namba hiyo itaandikwa jina lako akienda kufanya uhalifu, utapeli utakayewajibika ni wewe mwenye kitambulisho cha NIDA" amesema Msigwa
Tengenezeni system ya ku recognise fingerprints ukiingiza jina na finger prints zisisomane
2026-09-03 08:43:05
0
isabell l mboya :
kama mimi nimesalili laini tarehe 29 mwezi wa tisa nawawwasi maana aliniambia niweke vidole zaidi ya mara kumi
2026-09-02 06:12:01
11
Japheth Joseph :
muwaambie na mawakala wanaojitahid kuiba nida za watu ili kusajilia watu wengine yaan wakal na akil zake anamwambia mtu aweke kidole kumb hicho kidole ameiba kwaajili ya kusajilia lain nyingine akisajiri anamuuzia mtu
2026-09-02 09:56:11
3
YOHANA TZD :
moja apo mimi kaka duuu sijui ni ende wapi mana nime wa sajilia adi exi wagu 🤦♂️
2026-09-02 02:42:54
5
Kingmu616 Solutions :
shida ni wasajili laini ndio wana dable laini😂
2026-09-02 13:59:41
1
msiziloofficial :
wanaotusajiria ndio wanao wasajiria arafu wanaofanya kazi ndio wezi
2026-09-02 10:09:05
1
showalex :
SHIDA KUBWA MHESHIMIWA HAO MAWAKALA UNAWEKA KIDOLE MARA TATU AU NNE WANASEMA HAKISOMI KUMBE KINASOMA WANACHKUA LAINI WANAUZA HIYO INAUMIZA SANA
2026-09-02 06:56:00
3
Elly Entasa** :
wekeni mfumo mzuli wa watu kupata nida kama kuwafikia watu mitaani wengine tumesota sana kuzipata hizo nida mpaka saiv kisa hao wafanya kazi wenu wanajiona sana
vitambulisho au hizo nida mnachelewesha na utaratibu wake ni mgum na huku mtaan watu wanahitaji matumizi ya lain na sim....boreshen huduma ili mambo yasiwe mengi
2026-09-04 10:59:05
0
chimoo :
usinipangie kwenye nida Yang muone kijuso
2026-09-04 09:59:18
0
To see more videos from user @huhesofmradio, please go to the Tikwm
homepage.