marioo alimtoa pia kwenye album yake na alikuwa sana mle yani
2026-09-01 18:22:03
9
designerrobien :
The guy's music was too much for Tanzanian let be honest, Luoi's music is great brother ila atakuweza kumampa enough respect or recognition yani kama South alimpa tuzo iyo dont you think we took him lighly
2026-09-01 18:47:44
4
Açhúzy🔹 :
ukipata nafasi Nenda kasikilize nyimbo inaitwa tight jamaaa anajua
2026-09-01 21:59:29
3
Feint_ :
😂😂we mjuaji
2026-09-01 18:22:26
6
Dady_Msouth :
Sio peke yako bruh mm nikahc wa nje ya tz
2026-09-01 18:37:21
3
oscar :
tatizo ni kwamba tanzania tumezoea music wa mazoea hatutaki vitu tofauti ukifanya mzik tofaut hausikiki sasa LUOI ni tofauti na music wa tanzania na ndomaana uku hasikiki lakn njee anasikika kama tanzania tungempa nafas bas angekuwa mbali saaaanaaaaaah
2026-09-01 18:58:20
6
rulobite :
Uyo jamaaaa ni fireeeee brooo
2026-09-01 17:55:23
2
Bravado :
hajashindwa time bado tu
2026-09-01 18:28:24
3
Kasese Msauzi :
kuna iyo inaiywa Kona
2026-09-01 18:28:36
3
Bensoul :
asingeondoka kwenye lebo ya Legacy record maybe... mikataba inawabana
2026-09-01 18:47:18
3
yuzzz :
ndio ndio mama ake
2026-09-01 18:01:37
3
Fyzo :
dah 😅
2026-09-01 18:18:37
3
iverzon :
bro hyo jmn Hajaxhndwa aliamua kuacha tu...
Je Kun jimmy chanda mbn watu wenginee wanaacha mziki tu
2026-09-01 17:57:14
3
kulwajrbumbuni :
duuh
2026-09-01 17:11:12
0
chedepimper :
sikilizeni. fine girl. 🔥🔥🔥🔥🔥
2026-09-01 20:58:22
0
𝗖𝗮𝗶𝗿𝗼 𝗖𝗼𝗼𝗹 𝗠𝘂𝘀𝗶𝗰 :
Ana nyimbo mpya ni kali sana🔥🔥
2026-09-02 00:29:51
0
MODE FASHION TZ 🇹🇿 :
bukavu 😅😅
2026-09-01 21:16:06
0
Big shaq :
Loui mkali
2026-09-01 21:27:57
0
@-Kian. :
huyo mwamba ni moto
2026-09-01 21:17:34
0
K_Brand EM006 :
kafanya kwel ila ndo tatzo la wabongo kusapotian mkuu ila n mkali wa Ving ujue jamaa alishawai kua dj
2026-09-01 18:23:46
0
To see more videos from user @mandoplus_, please go to the Tikwm
homepage.