@zanzibar871:

ZANZIBAR😎
ZANZIBAR😎
Open In TikTok:
Region: AE
Tuesday 01 September 2026 17:06:42 GMT
9032
410
35
175

Music

Download

Comments

user72394190605690
user72394190605690 :
Znz iwachiwee ipumuwe
2026-09-01 18:27:09
8
jumamos
j.charles :
wakowapi wana harakati hawayajui haya
2026-09-01 18:44:20
6
user1746681598670
Kassim Rashid Mohammed :
Mashallahu umesema ukweli
2026-09-01 19:01:46
6
awadh3472
Awadh :
Hotoba hii nzurii cjawahi kuiskia
2026-09-01 19:23:13
5
fodik81
ZNZ 1st :
Leo znz miaka 65 haiwezi kucheza katika mashindano ya kimataifa kama CAF NA FIFA . Znz haiwezi kusajili ndege na huku znz kuna wizara ya mawasiliano haya mambo vipi
2026-09-01 18:27:59
1
zfdctv
ZFDC TV :
miaka 50 mmetuumiza
2026-09-01 19:44:23
2
muyazakh.mohammei3
Muyazakh Mohammeid :
kumbe mnayajuwa hayooo!!!
2026-09-01 18:21:49
1
seif_soundo
Falcon 🇹🇿 :
nakubali mkuu
2026-09-01 19:26:39
1
mduchu11
T.S :
lwa mantiki hii kikwete aliunga mkono serikali 3
2026-09-01 20:04:16
1
user8722512466383
user8722512466383 :
muungano haufai kwa mambo ayo
2026-09-01 19:10:48
1
ashakhamisi
Asha Khamisi :
Sasa watajua kama hawajui
2026-09-01 18:46:19
1
ayoubkhatibu
MBUYU :
Mama Samia Suluhu khassani wewe ndio utakaeiyokoa ZANZIBAR hujaiyokoa wewe ndio wakulsumiwa nafasi maridhawa tuliyoipata kwa ZANZIBAR ingawa Rais Samia upo mpaka 2035 kwa mujibu wa katiba
2026-09-01 20:44:21
1
user182170458
user182170458 :
Unamaanisha Nini Unaposema Serekali Mbili Wakati Serekali Ipo Moja Na Ina Nchiyake Yaani Zanzibar Tanganyika Ukowapi Serekaliyake.
2026-09-01 17:30:35
1
user2603489318556
HASANLY :
duh inaumiza kwakweli
2026-09-01 18:31:06
0
raggyy9
Sal :
4% tu ya Zanzibar imewatoa roho, halafu wanajidai sisi ndugu😳😳
2026-09-01 18:22:11
1
salimalnadaby
Salim Alnadaby🇴🇲 :
2026-09-01 20:23:30
0
health.doctor28
Health Doctor :
Msanii
2026-09-01 20:17:50
0
na2030924
Na2030 :
Yote 6 Rais SSH amesha yayeyusha kama barafu. Zanzibar sasa inanufaika kupindukia, sasa mainland wanataka Tanganyika yao!!!
2026-09-01 20:04:24
0
ahmed163623
Tamsirat :
wamejisahau watanganyika wao wanajiwa saiv rais Samia katika Zanzibar hatumtaki ndio chuki zao tu
2026-09-01 19:50:27
0
hamza.sansibar.gui
hamza sansibar guide :
mama tafazal nyanyua vyot huko vilet zanzibar wao wanasahani ya wal sisi tunakibakul pia wanakitak mama Samia kaza kwel.hata 2030 zanzibar tuw na pesa kuliko Canada mzoa taka awe dili
2026-09-01 19:49:19
0
bwoy245
ABDI 23 ✌️ :
ila watu wing hawaelew nn kilizungumzwa hapa wanaropoka tu 😂
2026-09-01 21:00:50
0
user6844866245049
bajanja74 :
weziiiii tu ila kitaeleweka tu mpaka zanzibar iwe huru
2026-09-01 19:23:13
0
octavian2476
octavian2476 :
Sasa hapo alikuwa anasema kama Rais wa Zanzibar au kama rais wa Tanzania maana kama alikuwa ipande wa Zanzibar ila huyu mzee acha tu
2026-09-01 19:12:39
1
alphoncekomba936
Comfort Chain :
waacheni wajitawale
2026-09-01 19:11:15
0
albertlikomawagi
Albert Likomawagi :
🥰🥰🥰
2026-09-01 19:11:15
0
To see more videos from user @zanzibar871, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About