ww yaliazanza tangu saa 12 lkn tulichelewa kupata taarifa ilipofika saa2 usiku sasa tumemaliza kula ndo tukaanza hekaheka za Rihadha sasa 🙌🙌🙌 ule usiku ni mungu tuuu ndi alitusaidia mpk kufikia siku yaleo
2026-09-01 22:21:53
8
Loveness Philimon :
nakumbuka adi tarehe ilikua tarehe 16 .2.2011 siku ya jumatano mabomu yalianza saa 2 usiku iyo siku ilikua siku ya maulid atukwenda shule yaan ilikua atariii
2026-09-01 20:13:34
26
Rashid_tz :
ilikuwa 16 _2_2012
2026-09-02 02:19:50
2
🌸🤍 :
ni 2012 bhn
2026-09-02 07:53:57
1
b@by sabi💞💕💞⚡ :
daah nakumbuka nilikua darasa la kwanza 😂 jaman
2026-09-02 05:08:58
3
Boss_lady_Mariam :
nakumbuka mama alinibeba nilikuw darasa la kwanza yan dah😅
2026-09-02 01:28:35
3
Pink mellow :
Ayo mabomu Nani aliyeyalipua maan mm nilikua chekechea sielewi chochote 😌
Jamani sitaki nikumbuke hii siku nilitoka ukonga hadi tabata kwa mguu😭😭😭😭😭😭
2026-09-01 22:54:52
0
Mis_peninah🌹 :
Nakumbuka nlikua darasa la kwanza nilikimbia bila wazazi wangu ata ckuelewa naenda wapi ,mpaka nkashndwa kutembea na kusimama ,Namshukuru Mungu mpaka Leo Niko hai na afya njema🙏🙏
2026-09-01 21:36:57
1
rose🌹🌹🌹 :
Do acha tu ile siku🥺
2026-09-01 22:39:57
0
centralqueen5 :
Sitasahau jirani yangu alibeba bata badala yas kubeba mtoto 🏃➡️🏃➡️🙌
2026-09-02 04:05:12
2
shaibu_ys :
The moment haya mabomu yanatokea nilikua kwa Aunt yangu Manzese and huyo Aunt alikua na mdogo ake anakaa Gomz means Aunt yangu pia…. Yule Aunt na wanae walifika Manzese kwa mguu ile wanafika vilio vikaanza… mind you, hawajafiwa ila tuu ile moment ya kupokeana wakiwa wazima 😰 walikua wamechoka sio poa…
2026-09-02 02:43:38
2
Am Jessica 🍀 :
nilikimbia kutoka Kinyerezi Mapka kimara korogwe kurud sasa ikawa kasheshe 😁
2026-09-02 06:01:47
1
napcha the queen :
Sitosahau wallah nlikuw bado mdogo lakn nakumbuka ad leo😅
2026-09-02 05:46:41
1
Shantale beauty :
tulikimbia kutoka goms tumejikita tumefika chamazi mbagala saa tisa usiku yaan sitosahau
2026-09-01 22:01:21
1
🍁𝓽𝓮𝓮 𝓬𝓱𝓸𝓲𝓬𝓮🦋 :
daaa kitambo
2026-09-01 19:55:25
1
Shuu ❤️❤️ :
nakumbuka baba yangu alilewa iyo siku akatuambia akuna kukimbia ila likipita juu yeye anakimbilia chooni jmn ila siku ile kila mtyu aliijua dini kwa kusali jmn usikie tyu usiombe ya kukute🤣🤣🤣
2026-09-01 20:57:54
1
seif-034 :
adui mkubwa usiku huo ilikuw ukionekana na simu ipo on au unapiga simu
2026-09-03 08:16:06
0
🦋Id@h🦋Endrick🤴 :
mmh🙌
2026-09-02 22:14:02
0
@sajda-tz :
acheni ibaaki kua history jmn mtu unakimbia na ujui unaenda wp 😁
2026-09-03 07:19:02
0
To see more videos from user @gomsimabegan, please go to the Tikwm
homepage.