@siasatz: 1985 Hayati Ali Hassan Mwinyi anamteua Ndugu Joseph Sinde Warioba kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kijana kutoka Bunda Mkoani Mara ambae ni zao la Tabora Boys, mhitimu sheria Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam na The Hague Academy of International Law cha nchini Uholanzi #SiasaTZ #SiasaZetu #TheShepherd30

siasazetu
siasazetu
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 01 September 2026 19:38:29 GMT
14074
539
13
28

Music

Download

Comments

voisaclassic92
voisaclassic92 :
sasa kageuka anaipiga spana serikali na anatoa siri za serikali
2026-09-01 20:16:56
2
recho.goda
Recho Goda :
jamani mzee Ruksa Allah akuraham
2026-09-01 19:59:38
1
gasparkisinza
GASPER KISINZA :
Kumbe ndo Mana ni MKWELI HUYU BABA
2026-09-01 21:10:55
0
ally.mhando5
Ally Mhando :
ila tumetoka mbali na mhuri wa ikulu hapohapo
2026-09-01 20:51:10
0
hafidhihafidhi2
MULLA PAJE :
Hapa hawasemi kitu yani kimya sana kama hawajui kitu daaa! yani Rais mtanganyika, makamu mtanganyika waziri mkuu huyu huyu 😂😂wapo kimya kama hawapo vile ila mtaelewa tu
2026-09-01 20:55:28
0
samlion73
samlion :
hakutetemeka
2026-09-01 20:18:09
0
gabriel.polepole7
Gabriel PolePole :
"foundations" () )(
2026-09-01 23:33:04
0
nassoro.mkwanje
Nassoro Mkwanje :
Eti siratoa siri mbn Leo unabwsbwaja tu
2026-09-01 21:12:09
0
iallando
Notorious :
anaemdharau mzee wayroba anapaswa kujua ndiye kiongozi wa kwanza kushika hizo nyadhifa mbili kwa wakati mmoja kwa miaka mi5 haijawahi kutokea tena
2026-09-02 01:14:41
0
To see more videos from user @siasatz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About