Huyu Sheikh yupo vizuri, ila yeye pia anahitaji kukumbushwa na kufundishwa zaidi kuhusu maadili na misingi ya Uislamu. Kwenye clip zake nyingi anaonekana kujisifia sana kuhusu mali na uwezo alionao. Ni vizuri pia akasisitiziwe umuhimu wa unyenyekevu, kwani neema ni zawadi kutoka kwa Allah na haipaswi kuwa sababu ya kujitukuza mbele ya watu.
2026-09-02 17:50:32
3
saidy mhando :
allah akupe maisha marefu
2026-09-12 17:55:53
5
The_Pearl_of_the Antilles_🇰🇭 :
idont send my money for you
2026-09-11 22:18:42
1
Hawa beauty beuty :
penda sana shehe mazinge Allah akupe umlimrefu
2026-09-14 16:16:36
2
JORDAN🇿🇦 :
tamaa yetu pepo
2026-09-10 13:25:35
4
sulemani :
mungu nimwema
2026-09-13 16:27:25
2
Ndungulu Denis :
SUBHUANALLAH YAA NUUR AL RASHIDU MASHAALLAH.
2026-09-06 00:18:28
3
shabanimazinge :
Siuwaze sasa niwe wakwanza
2026-09-04 16:28:01
3
sabrina :
hata mm nitakuchangia ukisema nakupenda shekhe mazinge
2026-09-05 07:28:07
2
0787855289 :
masha allah
2026-09-08 12:11:00
4
betwina paul :
Ata mm nitakuchangia nakupenda sana kwa mawaiza yko
2026-09-06 07:01:59
2
MBWANA RAJAB :
Mashallah..
Allha akujalie mwisho mwema na sisi pia
2026-09-02 04:19:20
7
anu :
Takbir. m
2026-09-02 04:22:48
1
swalekhe said :
kweri kabixaa mm nataman xaana nikuone shekhe wangu nikupe niricho rizkiwaa na alha