Hamna pahali patakatifu kushinda Arsh...Astaghafirullahi laadheem/SUBHANALLAH...na kuna Rawdha pale madina lakini haiwezi kushinda Arsh SUBHANALLAH habib yaa sheikh Arsh SUBHANALLAH kwenyu Lahyul Mahfudh...SUBHANALLAH/swallallahu Alleyhi wasalaam Tuwacheni kucheza na Arsh ya ALLAHswt Arsh...kwenye SIDRATUL MUNTAHA...ALLAHU AKBAR...
2026-09-02 19:33:00
0
Abdallah mwinyi :
subhanallah
2026-09-03 00:23:30
0
Ahlul twariqqa :
2026-09-02 23:23:53
0
Khalid :
Wapotevu
2026-09-02 19:52:29
0
Hakeem bin Hizam :
swallu alla Muhammad 🙏
2026-09-02 21:23:46
0
MAALIM HAJI :
wewe sheikh wewe mche Allah
2026-09-02 20:29:32
0
boeysha :
subhanallaah eeh kwa ushahidi upi huo ama ni kuzungumza tu kufurahisha baraza..
2026-09-02 18:00:28
0
Abdallah mwinyi :
uzuri kila mtu ata lipwa kwa alicho kifanya kisha jua utaenda kuulizwa kwa haya ulio tamka
2026-09-03 00:27:06
0
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
Ajibu masu'ala na uprojozake
Ndiyo. Ikiwa unamaanisha kisa maarufu kinachosema kwamba mbingu na ardhi zilijivunia/kushindana kwa fahari: ni ipi iliyo bora kwa sababu Mtume ﷺ alizaliwa au kuzikwa humo, nitumie maandishi ya kisa hicho au picha yake.
Nitakichunguza katika mambo manne:
Chanzo chake cha kwanza — kitabu, juzuu na ukurasa.
Isnadi yake — ikiwa ina isnadi, nitaitaja yote.
Daraja la riwaya — sahihi, hasan, dhaifu, mawdu‘ (imetungwa), au haina msingi.
Kauli za wanazuoni — hasa wanazuoni wa mwanzo na waliokuja baadaye.
2026-09-02 17:51:36
0
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
Si sahihi kusema kwa ujumla kwamba kaburi la Mtume ﷺ ni bora kuliko Arshi (العرش). Lakini suala hili lina maelezo:
Arshi ni kiumbe mkubwa na wa juu zaidi miongoni mwa viumbe, na Allah سبحانه وتعالى amethibitisha kuwa Yeye yuko juu ya Arshi kwa namna inayomfaa.
Kaburi la Mtume ﷺ liko katika eneo linaloheshimiwa sana duniani. Wanazuoni wengi wamesema sehemu alipozikwa Mtume ﷺ ni miongoni mwa, au ndiyo, sehemu bora zaidi za ardhi.
Hivyo, kuna tofauti kati ya kusema “sehemu bora zaidi duniani” na kusema “bora kuliko Arshi.” Arshi si sehemu ya ardhi, bali ni kiumbe mkubwa kuliko ardhi na mbingu.
Kwa hiyo kauli salama ni:
Kaburi la Mtume ﷺ ni sehemu tukufu sana katika ardhi, lakini si lazima tuseme kwamba ni bora kuliko Arshi.
Pia kuna khilafu ya wanazuoni kuhusu ipi ni sehemu bora zaidi duniani: Makkah, Madinah, au eneo la kaburi la Mtume ﷺ.
2026-09-02 17:42:15
0
MAALIM HAJI :
DUU
2026-09-02 20:29:13
0
OSMAN ABU BAKARI :
HAWA MWISHOWE WATAMUITA MTUME NI BORA KULIKO ALLAH WANAELEKEA HUKO
2026-09-02 19:43:58
0
concentration :
makhurafi hebu tupumzisheni jamani, kila siku mnakuja na vituko
2026-09-02 17:00:58
2
Abuu Mu'ad Assalafiy As Sūmãli :
MASUFI HUWA WANAFANYA JAMBO NDIO WAITAFUTIE DALILI
2026-09-02 19:34:10
0
Raj :
innaa lillahi wainnaa ialyhi raajiun wacheza na arshi ya Allah
2026-09-02 18:07:46
1
Musa masuo :
makhurafi kila mwaka waja Na mapya
2026-09-02 19:49:40
1
adammaulid850 :
ndio washafikia huko,sema hawaweki bayana tu,labda mpk siku z mbelen huko
2026-09-02 21:21:36
0
user2608787746811 :
Mmh hawa wanalengo la kuleta utatu au??
2026-09-02 23:54:50
0
Faiz mbaruk :
huyu amizidi sasa
2026-09-02 19:11:01
0
To see more videos from user @assabqi.tv, please go to the Tikwm
homepage.