@abushuraim6:

Abu Shuraim
Abu Shuraim
Open In TikTok:
Region: KE
Wednesday 02 September 2026 05:28:22 GMT
5365
308
25
41

Music

Download

Comments

dhiyebi
DH 🐬 :
The religious leaders in Mombasa are causing divisions amongst the community instead of uniting them.Very sad that they have no ability for self reflection.
2026-09-02 06:00:05
4
user83183079163247
yusuf barasa :
Huyu ndio sheikh anaejielewa zaidi na kila mwenye mwenendo wake mashaaAllah Allah amlipe zaidi
2026-09-02 14:50:37
2
nuseyr.10
Nuaym.10 :
yoote ni kuwa lau kungekuwa na adabu ya ikhtilaf basi hatungefika hapa lakini ajabu utaona wengine mpaka subhanallah husema sisi twafaa kujiweka mbali na wanaosoma Maulid na pia kuwachukia kweli hii ndo daawa na umoja wa uislamu
2026-09-02 16:55:29
1
said.hirbai
Tanta02😎 :
MashAllah..💯
2026-09-02 19:06:10
0
hasaanwahussein
Hassaan Wa Hussein :
Good
2026-09-02 18:21:46
0
shebeeshebee752
shebe :
nasaha mzuri sana shukran
2026-09-02 08:03:58
1
mashjarydollar
mashjarydollar :
Shida yote inaletwa na Masheikh wa pande zote mbili kutohishimiana kwa sababu ya RAMADHAN, MAULID ndio waislamu hugawanyika kwa MATUSI na KEJELI za kipizu, Au kukatazana ni kuhusu MWEZI wa Ramadhan na MAULID basi, Asomae asome na asosoma asisome! lakini haipendezi na wengi wanaotukanana au KEJELI hawana ILIMU ya DINI ilimu zao ni DUNI sana, wenye ILIMU hatumii matusi Wala KEJELI Wala mizozo
2026-09-02 18:44:19
0
no_.worries001
phauz 🧢 :
الله يحفظك يا شيخ محمد 🤍💪💯
2026-09-02 18:58:50
0
khadija.heena
Khadija heena :
swadakta sheikh
2026-09-02 17:45:06
0
iddinjiru
iddinjiru :
ustath twanyimwa hadi futari mwezi wa ramadhani kisa sifungi na mwezi wa kimataifa
2026-09-02 13:10:18
1
jyzoo7
jyzoo :
jamii ya waisilamu yasikitisha waisilamu wanaritadi waisilamu wanakosa mahali pakuswali waisilamu mayatima wanaitaji usaidizi
2026-09-02 14:52:20
0
haifatymohar
💞Haifa💕313💕 :
Kila mtu angefata lake tuu ingekuwa sahali ,maana hatuwezi fanana tumuachue Allah kazi ya kuhukumu
2026-09-02 08:23:39
0
swalehjuma561
swaleh juma :
Allah aza wajjala amuhifadhi sheikh obo
2026-09-02 18:18:39
0
bala.hatun.17
Bala Hatun 17 🇹🇷 :
Alhamdhullah thuma Alhamdhullah Allah akujaze kheri Sheikh kwa Maneno yko mazuri Allah akujalie katika Swadaktul'jaria yko Ameen Yarabii 🤲
2026-09-02 11:41:29
0
abuu.junyd
@ abuu junyd :
walienda kupiga kura au ni kwa ajili dini?
2026-09-02 10:52:25
0
alihakim4065
Ali Hakim :
subhanallah
2026-09-02 05:54:58
0
masjidtaqwa.mnarani
Mãšjıḍ Ťaqwa Mnarani :
kweli kabsa
2026-09-02 05:33:09
0
adamuissa26
adamuissa 2424 :
amakweli kunamda hata saa mbovu kunamda inasema kweli
2026-09-02 15:47:06
0
user8498358402611
user8498358402611 :
Kweli Ustadh
2026-09-02 06:48:38
0
keemz.olajuong
keemz olajuong :
hukuhusishwa ndio watch hutba ya state house,next time utaitwa.haikua maize millers ndio wateta.ukienda maize millers mbona husemi ni wahabi?
2026-09-02 15:29:51
0
user7765797126754
shariff :
kama mtakuajua ninan anaefaa kua kingoz wawaislamu katka zama zetu bac huyo nmmojawapo anafaa ako kwenye sera na akhlaq za maimamu wetu wanne walikhttalifiyana hawakukhalifiyana shukran
2026-09-02 09:34:31
0
official_jungle_1
JUNGLE MASTER :
Wewe pia una wapeleka kwa Maiz Millers
2026-09-02 13:28:09
0
fasbir91
FASBIR :
na huo ndio ukw3li.uzuri wa sheikh obo hasomi maulid lakini kukashifu
2026-09-02 07:19:17
0
patel9661
patel :
👍
2026-09-02 08:11:53
0
princebing1
king-bing1 :
@Abuu Turaab @abuuzakir @Izudin Alwy mohamed @
2026-09-02 12:44:49
0
To see more videos from user @abushuraim6, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About