Archimedes principle: when a body is totally or partially imersed in a fluid , itexperiences an upthrust equal to the weight of the fluid displaced....
2026-09-02 14:55:55
0
Humayrah💕Mrs Isco ❤️ :
apo ni mungu tu ndo alitenda
2026-09-02 09:43:03
61
coman-msafi :
2026-09-02 10:54:20
21
Eden Herbal :
Jaman hata haitaji wataalam, majin ndio yakuw yanatembea sio msikiti
2026-09-02 10:36:54
6
chiwaya :
daaah tufanye ibada ndugu zangu
2026-09-02 09:43:40
15
BABA UBAYA👽👽 :
kwani ulikua unatembe au umesimama maji yana pita naomba kueleweshwa
2026-09-02 10:25:57
17
tammy :
fact broo
2026-09-02 12:59:21
1
Ranama :
Mungu ni mwema
2026-09-02 09:57:05
12
Rahma. :
subhanallah msikit unahama
2026-09-02 11:46:49
5
Zogolo :
watasema msikiti ulikua na tairi
2026-09-02 10:54:36
1
Asila Salim :
Allah akbar
2026-09-02 10:19:32
8
ebnu hafjo2025 :
engineer aliweka propera huo
ila Allah namkubali kutoka moyoni mwangu bila hata kulazimishwa asili yangu imenisukuma allah akbar
2026-09-02 14:41:39
4
ngunda :
🤣🤣🤣🤣acheni kuzalilisha dini kwa video za AI
2026-09-02 12:33:45
0
user83069599708347 :
safi swali zuri wataelewa tu allah akulinde
2026-09-02 10:51:10
2
masoud nzowa :
Kila jambo linasabab HT kama mungu anahusika kwa 100%
2026-09-02 14:55:30
1
mafafama :
huo msikiti sio AI lkn??
2026-09-02 11:03:15
0
MLIMWENGU🌀 :
ilikua AI
2026-09-02 13:03:57
0
user4088349293830 :
huo msikiti italakuwa umejengewa mbao
kwasababu zege sio rahisi kuelea kama boti
2026-09-02 14:19:48
0
Maulidi Bura :
ni AI huo msikiti unaofloat na kujongea
ila hilo jengo lililohimili majibua mafuriko bila kubomoka ni real, kweli
2026-09-02 13:50:14
1
rashfaa saidi :
na huo msikiti kama una mataili unaendeshwa kabis Allah ni mkubwa ila watu tu hawaamini kama yeye ni mfalme wa wafalme
2026-09-02 13:27:00
15
nzorimfaki :
Huo msikiti uliwekewa floater chini that's why
2026-09-02 10:22:44
0
mafita family :
Brother wabong nivichw vigum mpak yawakut nd waamin, yaan wabong nd wat ambao wakiambiw tareh flan wot kaenn ndan wao wanatok kuangaliia ninan katoka
2026-09-02 10:58:47
2
hadija :
kweli hawataki kuelewa kwamba mungu yupo unachokifanya mungu analipa hapa hiyo ni funzo kwa dunia nzima mungu halali wala asinzie muda wote mungu yuko macho anaona kila kitu kwa hiyo tuwe makini mambo mengine tunayoyafanya tumwachie allah ndio mpangaji wa kila jambo hiyo ni mungu tu mwenyewe kwamba nipo
2026-09-02 13:48:22
1
rama.DZ :
sana kaka mina kuombea dua njema kwa elimu
2026-09-02 10:20:43
1
To see more videos from user @supremleader_20, please go to the Tikwm
homepage.