@katorotv: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Geita, Alexander Mnyeti kusimamia vyema shughuli za uchimbaji wa madini Mkoani humo, hususan katika Mji wa Katoro unaofahamika kwa shughuli za uchimbaji na biashara ya madini. Akizungumza leo Septemba 2, 2026 katika Ikulu ya Tunguu, Zanzibar, Rais Samia amesema Mnyeti anapaswa kuhakikisha Wachimbaji na Wafanyabiashara wa madini wanaendelea kufanya shughuli zao kwa kufuata taratibu, kulipa kodi na kuchangia maendeleo ya Mkoa wa Geita.

KATORO TV
KATORO TV
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 02 September 2026 10:20:33 GMT
7981
285
4
4

Music

Download

Comments

shisenamami
Francie!! :
shivers wetu daaah
2026-09-02 18:19:12
0
jkalamu
kom34 :
hahaaaaah sifaaa ni kitu Cha ajabu sana?
2026-09-02 11:40:16
0
emanuelsolomon553
Emanuel Solomon :
ko shigera katumbuliwa au vp
2026-09-02 11:10:07
0
To see more videos from user @katorotv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About