@cocofm: UKOSEFU WA MAJI WAZIDI KUWAKERA WAKAAZI WA KILIFI Wakaazi wa kaunti ya Kilifi wanaendelea kutaabika kutafuta maji safi ya matumizi majumbani huku wakiitaka serikali ya kaunti kufanya juhudi za kutatua tatizo hilo. Hii ni baada ya shirika la kusambaza maji pwani - Coast Water, kusitisha huduma zake kwa kaunti za Kilifi, Kwale na Taita Taveta kutokana na malimbikizi ya madeni. #MionziyaCocoFM #COCOFM #ladhayapwani
imagine apo Kuna governor, chief officer wamaji na director apo....na team/ board nzima ya maji Iko hapo.....then end month bill wanaleta bila maji.... what's really going on
2026-09-03 07:51:57
2
️Mwana wa jumaa :
Janga hili sijui litaisha lini yaani
2026-09-02 14:55:45
7
user834977011614 :
Ruto tutam
Mung'aro tutam
wacheni watu wa pwani wateseke ...
wanasema serikari ya ruto iko sawa
2026-09-03 13:27:10
2
pilau safiiii :
baha jumwa
2026-09-02 17:45:56
5
maly diva :
Ni kwl jamani maji yanatutesa
2026-09-03 05:08:47
3
BARBIE💋🦋💖👑 :
Hii shida ya maji halafu baadaye wanakuletea bill imagine
2026-09-03 06:29:23
1
Fatma Fatma :
Mimi hata wamenisinya kbsa,,na week sijaoga
2026-09-03 11:51:55
0
Janet :
wantam muharo home 2027
2026-09-02 14:11:30
2
Phoebe 💫 :
Eti hatulipi maji surely
2026-09-03 12:02:33
0
Bin Said :
Yaani tuko na Bahari alafu twahangaika na maji!!? Viongozi wetu walai sana
2026-09-02 19:20:37
2
vidzo :
shida ya maji sijui itaishi lini
2026-09-03 07:54:03
0
khajoo :
watu wataanza kuandamana mpaka walipe maji turegeshewe maji😳
Kwahiyo hata kuwavutia Yale maji ya chumvi hawawezi...ama hata kuwachimbia mabole hawawezi jamani hii serikali kwani Ina shida gani basi kutwa mambo ya maji tu
2026-09-03 11:10:48
0
hassan :
Baha Jumwa
2026-09-02 16:49:07
1
jimmy Carter #254 :
broadbase
2026-09-02 14:24:23
1
DENI LA MCHINA :
baha jumwa
2026-09-02 14:24:49
1
Sylvia 254@ :
jumwa kukira be fukaoya😁
2026-09-02 17:08:39
1
Mk Nomad :
Huku kaloleni hata tulizoea, mungaro 1 term.... Hatupigii mtu muongo kura
2026-09-02 13:17:51
4
pilau safiiii :
kimwasco mufunge hizo ofisi
2026-09-02 17:49:10
1
@khalfan3399😎 :
umaskini mbaya
2026-09-02 13:56:38
1
user3379636619373 :
Mungaro anafurahia akiskia watu wake wanateseka maji😂
2026-09-03 08:15:45
0
erriebee :
nani anasema tutam😂😂😂🤣🤣
2026-09-03 13:42:27
0
Harriet Osimbo :
Baya, you now realise water is a constitutional right, this world amazes us. what development track record on the rights you are talking about have you ensured the poor communities under your watch enjoy when they can't afford basic needs
2026-09-03 17:29:36
0
. :
imagine hii maji hon Bedzoro anatoa bure kwa ward yake ya magogoni ward ktk county ya mombasa. njooni huku mchukue kura mpate uhai bure kutoka kwa kiongozi wetu Bedzoro
2026-09-03 18:55:48
0
To see more videos from user @cocofm, please go to the Tikwm
homepage.