vyakula tunavyokula siku hizi kemikali ni nyingi mfano mabroiler, energy drinks , pombe kali, vyakula vya supermarket
2026-09-03 15:10:21
0
sabla :
daa subuhana Allah yarabi wasidie ajwako😭😭@🤲🤲🤲
2026-09-02 15:59:23
1
Abu Xani🇹🇿🇸🇴 :
laa haula walaa quwwata illa billah
2026-09-02 18:33:46
1
Filbert Kimati :
Hapa Tanzania pia tuko wengi sana brother..Na wengi wanakufa Kwa kushindwa gharama kubwa za kuchuja damu kwani Kwa wiki tunasafisha damu mara tatu Kwa ah laki mbili kila unapochuja dama..so Kwa wiki tunatumia sh laki sita. Hebu angalia kama Kuna raia wa kawaida anàweza kumudu hii? Bila serikali kuhamua kulibeba hili jukumu tunakufa tukijiona.Mimi nipo kwenye Dalisisi tangu mwaka 2021 lakini nimeweza kujionea na kuelewa kiasi kikubwa Cha haya maradhi yalivyo na yanatukatisha tamaa kuwa ukishaupata jibu ni kufa tuu.Kwanza kiuchumi unakwisha kabisaaa na bila pesa huwezi kuisha hata wiki mbili..nakufaa.So chonde chonde tunaomba serikali ituangalie Kwa jicho la hurumaa..Tunakufa tuajionaa😭😭😭
2026-09-03 05:42:37
1
user6034312901902 :
hakika
2026-09-02 23:08:45
0
alkindy :
dah kweli inauma
2026-09-02 23:41:50
0
SORRYDA :
kuna michezo hapa kaka
2026-09-03 05:36:20
0
lemamolelilemamoln :
polenisana
2026-09-02 22:13:30
0
Abdul waissa :
kabisa kaka
2026-09-03 11:13:28
0
razackyunusu :
mungu atusaidie jaman
2026-09-02 16:52:53
0
yasintaa yasin :
kwelii
2026-09-03 06:36:46
0
AYATORA KHAMENEI :
mungu wape wepesi namna yako
2026-09-03 20:11:18
0
user jaymucom :
Daaah inauma sana big up brother kwa ukumbusho watu wanaumwa
2026-09-03 14:27:05
0
Simba Mweusi :
pole familia MUNGU awakumbuke
2026-09-03 14:06:12
0
fredali :
ee mwenyezi mungu wasaidie wajawako
2026-09-02 20:46:20
1
user2583462592992 :
leo umeongea point tangu nimeanza kukuona
2026-09-02 15:08:47
0
sadam :
kaka mungu akuzidishie kutukumbusha huu mtihani mpaka nalia
2026-09-03 06:10:17
0
Filbert Kimati :
Kwa mawazo yangu ya kawaida tuu ninaomba hata serikali ingeunda mfuko maalum Kwa ajili ya kuhudumia Hawa waathirika wa hili janga kwani bado tuna malengo yetu na tunatamani kuishi Tena. Jamani hata serikali ingefanya hata kuongeza sh mia tu kwenye kila Lita ya mafuta Kwa ajili ya kumchangia h kwenye hii changamoto Mbona hata Matumaini yetu yangeweza kurudi Tena.Jamani tunaomba Watanzania wenzetu mtupazie sauti tusaidiwe jamani hakuna kitu chenye thamani zaidi ya afya..😭😭😭 chonde chonde serikali tusaidieni jamani tunaichukia serikali Kwa sababu inatubebesha mzigo ambao hatuuwezi jamani tunakufa tukijiona tusaidieni jamani.😭😭😭😭😭
2026-09-03 05:52:32
1
WEKA2WEKE :
Kwa mala ya kwanza umeongea ukweli Mimi nilikwambiaga Kila binaadamu MUNGU amemuumba na roho ya huruma japo wa chama nyie mnajifanyaga hiyo huruma hamko nayo ila Leo ukweli umebainika nyie pia roho ya huruma mnayo mnajiendekeza tu
2026-09-02 16:41:11
0
evelada :
pole sana mngu awaponye
2026-09-09 03:54:49
0
Yusuph _Amiry :
uyu ndo alikua anazungumzia yale majizi ya tareh 29
2026-09-03 07:28:23
0
Paty Sanga :
ugonjwa huu unasababishwa na nini
2026-09-03 08:35:03
0
Azizijr :
hata hapa tz tupo wengi sana tunasubiri siku tu
2026-09-03 10:11:08
0
Benitha Bonny :
acha hilo kuna kisukari kinakuja kwa kasi sana. hasa under 25. kijiji x mpka sasa watoto wako 33 ambao wako na kisukari tena wenye hali duni@kaka wa taifa
2026-09-03 08:07:19
0
Major Kiddie :
Kidney failure ni janga la Mataifa kaka.....Muhimbili kuna wagonjwa 400
2026-09-04 00:53:27
0
To see more videos from user @zungukakereog, please go to the Tikwm
homepage.