@bbcnewsswahili: Serikali ya Kenya imeiambia BBC kwamba inakadiria kuanza kuagiza maziwa kutoka nchi za nje ili kuziba pengo lililopo katika upatikanaji wa bidhaa hiyo. Taifa hilo linakabiliwa na uhaba wa maziwa, huku shirikisho la kushughulikia maslahi ya wanunuzi COFEK likionya kuwa uhaba huo huenda ukachochea kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo. Mwandishi wa BBC @Ahmed bahajj BBC ametembelea mitaa ya Nairobi kubaini jinsi hali ilivyo, na kuzungumza na wananchi. 🎥@Baba Sibuor #bbcswahili #kenyantiktok🇰🇪 #tanzaniantiktok🇹🇿 #foryou #fyp #maziwa