watanzania tutasutana tutatoleana maneno machafu, lakini kwenye kusaidiana kwenye shida tuko vizur, tuna huruma saaana. Mungu atupe mioyo hii siku zot
2026-09-02 20:38:00
1881
Miss Mwageni :
utashangaa baba mtt anarudi na anapokelewa 😂
2026-09-03 11:52:58
156
Upendo :
Asantee yesu kwa ajili ya huyo dada🙏🙏
2026-09-02 18:11:44
713
TheclaJulius60🇹🇿❤️🇺🇲 :
Mama Good luck mzuri sana ❤️
2026-09-03 08:41:18
16
menah :
mungu awabaliki wote mliopitisha mkono kwa uyu dada🥰🥰
2026-09-02 18:25:57
189
Nana flowers :
Happy tears..
2026-09-04 11:20:26
0
Kate :
shalom,am a Kenyan and have worked with children.Are there job opportunities at your center?
2026-09-03 05:39:20
0
jessgiddey :
wooooow god is good
2026-09-03 20:34:27
0
biaprosper :
me staki kulia jamani🥺🥺Mungu mwema awabariki wote mliotoa jamani
2026-09-02 17:51:02
138
ney.cosmetic1🛍️❤️ :
Wakati wa mungu ni wakati sahihi ❤️❤️
2026-09-02 18:58:10
45
Rhema Mwanyasi :
dada Rehema MUNGU akubariki na azikumbuke sadaka zako 🙏
2026-09-02 17:41:39
337
Pretty Angel🕊️🌸🦋🌺 :
Mungu awazidishie wote waliotoa mala 💯 zaidi 🙏🥰
2026-09-02 21:58:51
38
cinema_inspimotivation :
Yeah she deserves all that and more than after the pain she’s been through GODSSPEED
2026-09-02 20:43:34
1
rehema john 2007 :
Amina dad
2026-09-03 12:07:32
0
Menady :
Wewe unayesoma comment hii, Mwenyezi Mungu akukumbuke katika kipindi hiki kigumu. Pengine moyo wako umebeba uzito mkubwa wa majonzi, msongo wa mawazo, au maumivu ya ndani ambayo huwezi kumweleza mtu yeyote. Mungu anayeona yote ya sirini akakupe amani ya kweli moyoni, akupe uvumilivu, na akufungulie mlango wa kutokea mahali ambapo huoni tena matumaini.
2026-09-03 11:57:58
26
Unknown woman 👩 :
Sasa hapo huyo mwanaume atakavyokuja kwa speed ya 5G ukimpokea tu umekwisha pambana sasa na mwanao Mungu akutangulie kipenz 🙏🏻
2026-09-03 06:18:03
37
Melea Juma :
samahani jamani mimi sijui nini kinaendelea???
2026-09-02 21:26:02
24
Malaika :
Sasa nalia nini 🥲wakati wa mungu nisasa hongera kipenzi
2026-09-02 17:55:31
55
Chun'er Hassan :
Jamani 🥰🥰🥰🥰Mliotoa hapo Mungu awalipe zaidi
2026-09-03 15:22:16
7
agusta mpangwa :
mnavoambiwa watoto ni baraka baraka zenyewe ndo hivi Kila kitu kinakuja kwa kusudi Mungu anamaguvu sana
2026-09-03 06:57:53
8
Mi Amor ❤️ 😘🖤 :
Wakati wa mungu ndiyo sahihi hata kama Dunia nzima imekukataa au kukuacha Mungu hapimwi kwa wakati wala majira 🙏Mungu ni mwema wakati wote na majira yote 🙏❤️
2026-09-02 19:06:56
5
mrs hamis :
dada rehema mungu akubaliki sana akupe miaka 10000000nakupenda sana dada yangu
2026-09-02 17:47:42
13
Reina Beauty salon👑 :
Hongera sana kwake🥰🙏me nikishika hata milioni 5 nahisi niachanganikiwa😂 hii akili yangu navyoiona nitaweuka aisee Money come to me easily Money come to me fast 🥰🙏
2026-09-02 19:09:21
6
To see more videos from user @rehemasimfukwe_, please go to the Tikwm
homepage.