Hivi ikifika usiku nikikuambia nimechoka utanilaumu😅😅😅
2026-09-03 05:36:40
31
johnson bullet :
braga samahani huyo mkeo au saidia fundi
2026-09-02 20:24:34
100
BIG CHUI PLANK❤️🔥 :
SI WANA SEMAGA HAKI SAWA WAPELEKEE BABA😂😂🔥🔥🔥
2026-09-02 20:58:23
23
MRS G♥️ :
mie najijua ningelia
2026-09-03 05:22:36
5
tamy_dully🤍🫀🧕🌸 :
mweeeeeeeeeeeh😁😁
2026-09-02 22:02:00
2
bark :
kwann jmn mnamtesa mrembo wangu 🤣🤣
2026-09-03 06:21:50
7
Mohammad Ibrahim :
Ana haki sasa ya kusema "tumejenga wote" 😂
2026-09-03 04:06:17
24
Mbowe's Daughter :
saidia fundi ndo hii 😂 😂
2026-09-03 02:26:38
8
Josee :
adilaha mungu awajalie mfike mbal❤️🍎😥
2026-09-02 22:01:04
7
Babe_Eyes :
Babe wangu kazi unayo jamani polee 😂
2026-09-03 08:33:44
2
Giantpoultryfarming :
Kama najiona mm na Mke wangu hapoo. na anavyopenda kunifata nikiwa nafanya kazi zangu nampa jukumu chap na uzuri hakataagi na akiumia akianza kudeka mm nacheka hlf namwambia hapo padogo hvyo ndo unaliia ebu tuendelee na kazi..mbona atatafta kisingizio aondoke mwenyew 😂😂😂, cha ajabu hakai Sana anarudi tena🤣🤣🤣🤣🤣
2026-09-03 07:49:04
6
DEEJAH MAROST :
alafu kuna mwenzake uku alinipandisha juu ya bati nkafunge dishi ile siku siwez kusahau alafu anafoka kbs yan kama mm fundi mpk nmegoma kushuka juu ya bati anasema uwambie kuomba ela za mchezo mme wang NAOMBA kaz uwez nililia jaman🤣🤣